Msaada: Mke kaniroga nikienda nje haisimami, ndani inasimama

Msaada: Mke kaniroga nikienda nje haisimami, ndani inasimama

Mkuu katibiwe tu ila usichepuke tena aise maana anaweza kukufanyia kitu mbaya zaidi.. mfano tu asije kukulisha sumu.
 
MeinKempf pamoja na hayo kuna michezo midogo tu ambayo hata ukienda kwa watoto wadogo mzenga watakufundisha. Huyo jamaa apukue nyumba nzima atafute pini popote zilipo azitupe ndo nyenzo zao za kutengenezea hyo kitu
 
Last edited by a moderator:
Na day Mkeo akifariki... wewe ndio kwaheri hutakula papuchi tena... maana mwenye passwords hayupo


Hahahaha
nenda kwa wataalamu wa Unlocking
 
Dah hilo bonge la tatizo huwezi hata kulishindilia lisiposimama ndio basi tena

hatari nakwambia
 
hamilton

Duuu! Nilikua nasikia tu haya hivi kumbe kweli yanawezekana haya!
Pole lakini ukome! Nimempenda mkeo. Wachepukaji wote tujifunze hapa.
 
Last edited by a moderator:
Huyo mtaalamu wa mkeo angeligawa dozi Tanzania nzima HIV/AIDS na STI's ingebaki HISTORIA...Wapi Waziri wa Afya?
 
Duh! Pole Sana.. Tuliana ndoa Yako Muombe Mungu Msamaha kwa kuchepuka. Na Utulie na Mke Wako na ndoa Yako
 
mh! wote mmeamua kuwa washirikina 'wateja wa waganga wa kienyeji' ....kuanzia wife, mchepuko na sasa wewe unayeomba ushauri kuh kwenda huko!!!!!!! DUH! Nawapa POLE KUU! poleni kwa kuingiza laana kwenye family.....ni hayo tu!
 
Safi sanaaa tena ulitakiwa hisisimame kabisaaa hata kwa mkeo ili ukome kuchepuka alaaah
 
Ili kumkomesha mkeo we nenda tu kwa mchepuko wako kama kawaida Na uko yeye atahisi dawa haikufanya Kazi, wakati anaangaika kupata dawa nyimgine hiyo ndiyo itakayo kuponya
 
Huyo Mganga wanawake wakimjua atakuwa tajiri
 
Back
Top Bottom