Msaada: Mke kaniroga nikienda nje haisimami, ndani inasimama

Msaada: Mke kaniroga nikienda nje haisimami, ndani inasimama

makubwa mm mchepuko alimfanyia mume wangu akija hm haifany kaz akienda kwa mchepuko kama kawa cjui kaponea wap mana baada ya hapo miez sita na kuendelea cmjui mume ndan kajihangaikia mwenyew kwa kuhofu nitachepuka lakin nilivumilia na kumwachia mungu
 
makubwa mm mchepuko alimfanyia mume wangu akija hm haifany kaz akienda kwa mchepuko kama kawa cjui kaponea wap mana baada ya hapo miez sita na kuendelea cmjui mume ndan kajihangaikia mwenyew kwa kuhofu nitachepuka lakin nilivumilia na kumwachia mungu

Huyo sio mchepuko tena
huyo mke mwenzio
 
hamilton

Umeathirika tu kisaikolojia, alivyokwambia UTAONA, ikakuingia akilini kuwa kuna kitu atafanya, na huyo daktari kakwambia hivyo ndo kabisaaaa kakumaliza. Umezidi kuamini kuwa mkeo kakuroga!
Ni kitu cha kisaikolojia, basi!!
 
Last edited by a moderator:
Safi sana, ningekuwa namjua mke wako ningempa hongera personally, inawezekana hata hajaenda kwa mganga wala nn, ukute amefanya maombi tu na Mungu ameamua kumjibu kwa njia hyo, kwani unadhani Mungu anafurahia?????
 
Pole sana mkuu sikushauri uende kwa babu.

Kama vipi mwambie mkeo aache ulozi aache kukuloga.

Omba kwa MUNGU kama alikuroga ataumbuka soon.

But acha uzinzi.
 
Zidisha mapenzi kwa mkeo kushinda Mwanzo, hali hii ifanye kwa mwendelezo. Ikipita baada ya miezi 6 kwa unyenyekevu mkubwa mwombe akusamehe na adhabu aliyokupa imetosha.
 
Tena nampongeza kwa alilokufanyia ingitakiwe akufanye usisimamishe milele ndo ukome tabia yako ya kuhangaikia papuchi tena ilale forever.
 
Tena nampongeza kwa alilokufanyia ingitakiwe akufanye usisimamishe milele ndo ukome tabia yako ya kuhangaikia papuchi tena ilale forever.

Ikikataa kusimama dawa ni powerbank au unaboost na betri y gari ki2 hiko
 
Ikikataa kusimama dawa ni powerbank au unaboost na betri y gari ki2 hiko

Hahaaaa ya huyu jamaa imeshindikana hata kwa power bank mana kashafungwa tayari bora akipumzishe tu ukute na mkewe alichomfanyia alifunga akatupa mbali, labda maombi yatamuokoa.
 
Hahaaaa ya huyu jamaa imeshindikana hata kwa power bank mana kashafungwa tayari bora akipumzishe tu ukute na mkewe alichomfanyia alifunga akatupa mbali, labda maombi yatamuokoa.

Hiyo inatenguliwa fasta halafu nakupa talaka 25 kwa tabia z kilonzi....mana kuna cku utanitoa msukule
 
Back
Top Bottom