Msaada: Mke kaniroga nikienda nje haisimami, ndani inasimama

Msaada: Mke kaniroga nikienda nje haisimami, ndani inasimama

Nipe huyo!! Maana anakupusha mengi. Acga uzinzi.
 
Mmmmmh mwambie akurudishie utu wako lakini ukili kuwa hutorudia tena...aiseee pole sana mkuu kwa hiyo papuchi za nje saivi hakuna tena hahahahaaaa afu inaonyesha unazimic kinoma noma

Arudishiwe kwa sababu gani wakati akiwa na mkewe hakuna shida? Cha msingi aache uzinifu
 
Zidisha mapenzi kwa mkeo kushinda Mwanzo, hali hii ifanye kwa mwendelezo. Ikipita baada ya miezi 6 kwa unyenyekevu mkubwa mwombe akusamehe na adhabu aliyokupa imetosha.

Adhabu imetosha aachiwe aende wapi?
 
Kwa kuzingatia kisa cha awali, ulichokwishakiweka humu ndani, nakushauri; tembea kwa watalaam kutegua hicho kitendawili. Itakuwa hatari sana kwa sababu yeye anaweza fanya lolote nje akiamini wewe huwezi jibu mashambulizi kwa hiyo "pin code" aliyokuwekea na mwisho wake ni wewe kudhalilika kwa kauli za kutawaliwa au pengine naye kukuumiza na kutembea na rafiki zako wa karibu. Pole sana kwa hili.
 
MeinKempf pamoja na hayo kuna michezo midogo tu ambayo hata ukienda kwa watoto wadogo mzenga watakufundisha. Huyo jamaa apukue nyumba nzima atafute pini popote zilipo azitupe ndo nyenzo zao za kutengenezea hyo kitu

Umeanza lini uganga?
 
Last edited by a moderator:
Siku mkeo akitangulia mbele za haki ndo kimekula kwako;
Fanya meditation itakusaidia; mwone mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Habari za mida wana Jf,

Nimekua na mgogoro mkubwa na mke wangu kwa muda flani sasa, nisingependa kuutaja maana nilishautaja mgogoro huo hapa na tulishaufunga mjadala huo. Kutokana na huo mgogoro nikalazimika kutafuta farijiko pembeni, farijiko hilo ni staff mwenzangu kazini ambae alikua alikua historia ya mgogoro wangu.

Mwanzo nilienda kujipumzisha tu kwa muda ili kupata muda wa kupumua kuondoa stress lakini baadae nikanogewa nikawa nalala huko siku mbili hadi tatu ndo narudi home. Sijajua wife alitumia mbinu gani kumbaini mbaya wake, maana nilishangaa tu katia team kazini na kuanzisha varangati. Hata nyumbani kwa huo mchepuko sijui kapajuaje, nilistukia tu siku moja tumejipumzisha ndani akatia Tim pale na kuanzisha fujo akinitaka turudi nyumbani la sivyo pale pangegeuka Syria, ilikua ni aibu kubwa nikalazimika kutii na kuondoka nae.

Tulipofika home nilikua na hasira sana nikamwambia hata afanyeje mimi nitaendelea tu na yule mwanamke wangu apende asipende nae akanijibu kwamba tutaona nani mshindi, kwamba nikiendelea na huyo mwanamke nitaona kitachonipata
Kweli bana, nilikaa siku kadhaa bila kwenda, siku nilipoenda kwa mchepuko nikashangaa uume hausimami, tulijaribu kila namba lakini wapi. Kila siku tukawa tunajaribu bila mafanikio.

Tulikua na siku nyingi hatujafanya mapenzi na mke wang kwa sababu ya ugomvi, cha kushangaza ghafla tu usiku akaanza kunitomasa na kunifanyia romance ya nguvu, huku akinibembeleza tudumishe ndoa yetu mara tusimpe shetani nafasi sijui na blah blah nyingi hadi tukajuana bila shida.Kesho yake niliporudi kwa mchepuko haisimami tena, ndipo nikakumbuka ile kauli kwamba "" tutaona"".Tumejaribu na kujaribu na mchepuko wangu lakini wapi.

Hadi umeenda sehemu na kuambiwa ni mke wangu ndo amefanya vile so mtaalam kamwambia ni lazima niende nikatibiwe la sivyo nitakua sitembei na mwanamke mwingine yoyote yule zaidi ya mke na ikitokea tumeachana ndo balaa kabisa
Yaani ametengeneza dawa nisimamishe kwake tu. Lakini cha ajabu huyu mke wangu hujidai mtu wa dini kwa kuimba mimba vijinyimbo vya kina rose mhando muda wote

Wakuu mnanishaurije? Niende kwa huyo daktari wa mchepuko wangu nikatibiwe?

Nimethibitisha kwamba ni mke wangu maana kawa mtu mwema sana kwangu tangu shida hii inipate, akifanya vyote tulivyokua tukifanya zamani mwanzo wa ndoa

Nimetafuta binti mwingine kabisa ili nijaribishe ikawa vile vile niliporudi home mambo safi

Wakuu nahitaji msaada wa haraka tafadhali

Ugomvi wangu na wife uliotufikisha hapa hatukawahi kuumaliza na nilimtimua kurudi kwao ndipo akarudi kwa kufosi ndipo nikatafuta demu pembeni.



Wacha tamaa ridhika na mke wako ndg;zinaa ni mbaya sana ndg;
 
Khaa!! Kula mzigo kwa mkeo kutwa mara 5 mwenyewe atakufungulia bana
 
Naomba uniunganishe na mkeo anipe hiyo dawa naona ni nzuri sana watu watulie na wake zao
 
Back
Top Bottom