navin-govind
Member
- Apr 10, 2015
- 72
- 117
makubwa mm mchepuko alimfanyia mume wangu akija hm haifany kaz akienda kwa mchepuko kama kawa cjui kaponea wap mana baada ya hapo miez sita na kuendelea cmjui mume ndan kajihangaikia mwenyew kwa kuhofu nitachepuka lakin nilivumilia na kumwachia mungu
Kwa hiyo unataka kuendelea kuzini?
Tena nampongeza kwa alilokufanyia ingitakiwe akufanye usisimamishe milele ndo ukome tabia yako ya kuhangaikia papuchi tena ilale forever.
You deserve it 😊
Ikikataa kusimama dawa ni powerbank au unaboost na betri y gari ki2 hiko
Hahaaaa ya huyu jamaa imeshindikana hata kwa power bank mana kashafungwa tayari bora akipumzishe tu ukute na mkewe alichomfanyia alifunga akatupa mbali, labda maombi yatamuokoa.