Msaada: Mke kaniroga nikienda nje haisimami, ndani inasimama

Nipe huyo!! Maana anakupusha mengi. Acga uzinzi.
 
Mmmmmh mwambie akurudishie utu wako lakini ukili kuwa hutorudia tena...aiseee pole sana mkuu kwa hiyo papuchi za nje saivi hakuna tena hahahahaaaa afu inaonyesha unazimic kinoma noma

Arudishiwe kwa sababu gani wakati akiwa na mkewe hakuna shida? Cha msingi aache uzinifu
 
Zidisha mapenzi kwa mkeo kushinda Mwanzo, hali hii ifanye kwa mwendelezo. Ikipita baada ya miezi 6 kwa unyenyekevu mkubwa mwombe akusamehe na adhabu aliyokupa imetosha.

Adhabu imetosha aachiwe aende wapi?
 
Kwa kuzingatia kisa cha awali, ulichokwishakiweka humu ndani, nakushauri; tembea kwa watalaam kutegua hicho kitendawili. Itakuwa hatari sana kwa sababu yeye anaweza fanya lolote nje akiamini wewe huwezi jibu mashambulizi kwa hiyo "pin code" aliyokuwekea na mwisho wake ni wewe kudhalilika kwa kauli za kutawaliwa au pengine naye kukuumiza na kutembea na rafiki zako wa karibu. Pole sana kwa hili.
 
MeinKempf pamoja na hayo kuna michezo midogo tu ambayo hata ukienda kwa watoto wadogo mzenga watakufundisha. Huyo jamaa apukue nyumba nzima atafute pini popote zilipo azitupe ndo nyenzo zao za kutengenezea hyo kitu

Umeanza lini uganga?
 
Last edited by a moderator:
Siku mkeo akitangulia mbele za haki ndo kimekula kwako;
Fanya meditation itakusaidia; mwone mshana jr
 
Last edited by a moderator:

Wacha tamaa ridhika na mke wako ndg;zinaa ni mbaya sana ndg;
 
Khaa!! Kula mzigo kwa mkeo kutwa mara 5 mwenyewe atakufungulia bana
 
Naomba uniunganishe na mkeo anipe hiyo dawa naona ni nzuri sana watu watulie na wake zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…