afrelinda23
Member
- Jul 16, 2023
- 5
- 3
jamaa alijua atasifiwa na wana, pyuuuuu ukaharibu familia ya mwenzio kisa nyege tu, watoto wa jamaaa watakuita wewe mama mbwa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu MUngu unaemtaja bila sababu ni yupi, Mungu wa mbinguni asingekufanya ufanye uzinzi in the first place. Achana na mungu wetu we nenda kaabudu miungu wako wengine.Mungu akusamehe kwa kuhamasisha ushoga.
Nilikuja kutafuta ushauri sio matusi, Mungu akusamehe najua kuwa nimekosea na sikutegemea sifa.jamaa alijua atasifiwa na wana, pyuuuuu ukaharibu familia ya mwenzio kisa nyege tu, watoto wa jamaaa watakuita wewe mama mbwa kabisa
Mganga yupo kwa ajili ya wagonjwa.Huyu MUngu unaemtaja bila sababu ni yupi, Mungu wa mbinguni asingekufanya ufanye uzinzi in the first place. Achana na mungu wetu we nenda kaabudu miungu wako wengine.
jamaa alijua atasifiwa na wana, pyuuuuu ukaharibu familia ya mwenzio kisa nyege tu, watoto wa jamaaa watakuita wewe mama mbwa kabisa
akhsante kwa ushauri mkuu.Amini kwamba haijaisha mpaka iishe,Jamaa ataendelea kukutafuta na possibly atakufanya mbaya...Msaidie huyo dada apate Talaka ili apate japo vi mali kdgo...Usijichanganye ukaanza kuishi nae mapema hv issue bado ya moto aseee utapakiwa mkongo hutaamini
Mkiambiwa kaeni mbali na wake za watu muwe mnaelewa.Issue sio kuoa ndugu yangu. Issue huyu ni Mke wa mtu. Namuoaje duh! Mi sijui hata kesho yangu... Inauma sana
Hadi hapo nakushauri jiandae tu kuwa mke wa pili ya Baba Jay....hataakuacha na malinda kwa hakika!simu hiyo alikuwa ameihack achilia mbali normal sms and calls, hata chatting za WhatsApp alikuwa anaziona na kuzisoma. Jambo hili lilinishitua sana maana nilijua atakuwa amenasa pia picture zangu tunazotumiana na mkewe hivyo kudakwa ni suala la muda tu.
Punguza dharau mkuuHadi hapo nakushauri jiandae tu kuwa mke wa pili ya Baba Jay....hataakuacha na malinda kwa hakika!
The greatest threat to mankind is indeed ignorance
Pole sana
Kisasi bora zaidi ni msamaha.Oooops Dah sijui jamaa yuko kwenye hali gani jamani jamani jamani mke anauma sana mwanangu UMEZINGUA SIO KIDOGO aaaargh mi ningekusaka mzee TUMALIZANE SIO KIZEMBE TU IVO
Na namuonesha Baba Jay ulipo, tutakuja na mabaunsa, wapiga picha tukikosa KY gel tutabeba hata mrenda kwa mama ntilie....ready bro!Punguza dharau mkuu
Punguza... KdgNa namuonesha Baba Jay ulipo, tutakuja na wapiga picha na KY jelly Get ready bro!
Mungu awasameheKuna watu wanatafuta kifo kwa nguvu sijui kwanini