Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Akili za kitoto mbaya sana. Umeharibu ndoa ya mtu then kudadeki. Jiandae kuliwa jicho.
 
Uyu dogo kanikera hata kama hii ni chai. The way men tunahaso kwa ajili ya wake zetu na maisha yetu ya baadae alaf mtu analeta ujinga kama huu. Nakukula jicho kudadeki zako dogo.
 
Uyu dogo kanikera hata kama hii ni chai. The way men tunahaso kwa ajili ya wake zetu na maisha yetu ya baadae alaf mtu analeta ujinga kama huu. Nakukula jicho kudadeki zako dogo.
Punguza matusi mkuu
 
Uyu dogo kanikera hata kama hii ni chai. The way men tunahaso kwa ajili ya wake zetu na maisha yetu ya baadae alaf mtu analeta ujinga kama huu. Nakukula jicho kudadeki zako dogo.
Sidhani kama ni chai maana kisa kama hicho kimewahi kutokea daresalaam maeneo ya bunju usalama. Jamaa alikuwa mtu wa safari za mara kwa mara, siku moja alivorudi nyumbani alimfumania mkewe nyumbani kwake kwenye kitanda chake mwenyewe. Aliachana nae Kwa amani na nyumba wakauza. Mpaka sasa jamaa ameshaoa mwanamke mwingine na ameshajenga nyumba nyingine maisha yanaenda flesh. Kwa hiyo mambo kama hayo yapo na yanatokeaga.
 
Sasa nifanye nini ndugu? Nipe wazo basi mwanaume mwenzio... Haya mambo hayana mwenye
Njoo tuyazungumze nipe jicho nilibize siku 15 yaani nusu mwezi at least bao 65 ntakusamehe na mke wangu namrudia naomba ufanye haraka uje na makopo mawili
 
Njoo tuyazungumze nipe jicho nilibize siku 15 yaani nusu mwezi at least bao 65 ntakusamehe na mke wangu namrudia naomba ufanye haraka uje na makopo mawili
Punguza dharau mkuu
 
Mchuma janga ula peke yake . Mke wa mtu ni mtamu sana coz unakuta amenona ila sasa ukishakabidhiwa ndo shughuli inaanza .
 
Kuna watu watakuonea huruma na kukushauri.

Mkuu, hata ukitolewa marinda hatuna hasara na wewe mkuu.

Baada ya kumvunjia ndoa huyo mpumbavu mwenzako, nenda na kwingine ukaanze mahusiano motomoto kama ilivyokuwa ada yako
 
Kuna watu watakuonea huruma na kukushauri.

Mkuu, hata ukitolewa marinda hatuna hasara na wewe mkuu.

Baada ya kumvunjia ndoa huyo mpumbavu mwenzako, nenda na kwingine ukaanze mahusiano motomoto kama ilivyokuwa ada yako
Punguza matusi mkuu. Kuwa na ubinadam
 
Acha kujiliza liza wakati wewe umeelezea kwa kina umalaya wenu mliokuwa mnaufanya.
Kwa taarifa yako, mwanamke akishatoka nje ya ndoa na akaja kuolewa na huyo mchepuko, muoaji ajiandae kisaikolojia maana atokaye nje haachi hadi akutane na vumbi.

Yaani jiandae na hiyo chemistry menu, utakuja kustuka too late
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…