Xi jiping
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 628
- 920
kwan nakujua??😎mi nakoment kama mwana jfKwahyo umekuja kunitukana?
Siwezi kukutukana hatujuan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwan nakujua??😎mi nakoment kama mwana jfKwahyo umekuja kunitukana?
Haina shida, naona umeivalia njuga kweli kweli... Mmmhhhh😂😂😂😂Yaan huyo uliyemkosea hujamuomba msamaha unakuja mtandaoni??
au uliona ID yake huku!!
We mpigie simu au tuma watu waende hapa umeleta usikie watu wanamtazamk gan
Sawa mdogo Angu. Mungu akusaidiekwan nakujua??😎mi nakoment kama mwana jf
Siwezi kukutukana hatujuan
mi siwezi na kaka mgoni kama wwSawa mdogo Angu. Mungu akusaidie
Sasa kwann usingetuliza kiba100 chako au ununue malaya kama we unatamaa sana!! mademu wasio na mtu bar wapo kibaoHaina shida, naona umeivalia njuga kweli kweli... Mmmhhhh
Dunia tunapita.
Poa mwambami siwezi na kaka mgoni kama ww
Kiba100 changu acha dharau mdogo Angu. Au unakitaka?Sasa kwann usingetuliza kiba100 chako au ununue malaya kama we unatamaa sana!! mademu wasio na mtu bar wapo kibao
umeona akili yako sasa!!?Kiba100 changu acha dharau mdogo Angu. Au unakitaka?
siyo lazima ujibu kila commentPoa mwamba
Poa mwamba
Huu pelekea babaako.Kikao cha Wanaume: Usimkule Mke wa Mtu Hata Kama Kajirahisi Vipi Kwako
Kikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja...www.jamiiforums.com
pitia huu uzi we mpenda mtunguo
baba angu ndo ww!!!…. nakutumia video moja hivH
Huu pelekea babaako.
Usiwaze ntakujibu tu.siyo lazima ujibu kila comment
Kikao cha Wanaume: Usimkule Mke wa Mtu Hata Kama Kajirahisi Vipi Kwako
Kikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja...www.jamiiforums.com
pitia huu uzi we mpenda mtunguo
Kaka uko smart sana... Ushauri wako ni mzuri mno... Akhsante sana.daah pole mzee, ajali kazini..... japo sio fair kutembea na mke wa mtu ila it happens haya mambo wala hatipangagi.
kwa kuwa lishatokea, tafuta means utamtumia jamaa ujumbe wa kumuomba radhi, na muambie ni makosa yako kumrubuni mke wake, hivyo unajiombea msamaha na kumuombea msamaha mke wake, pia muahidi hutojihusisha kwa namna yyte na mke wake, hvyo amrudie mke wake walee familia. mwambie umechukua maamuzi ya kuhama mji na hutorud tena hvyo unajutia sana kumrubun mke wako.
pia mwambie huyo mwanamke amuombee msamaha mke wake huku lawama zote ziwe kwako na kwa shetan.. kama jamaa hatamuelewa basi arud home akapumzike muwasiliane baada ya muda kupena updates, jamaa ana chance ya kumsamehe mke wake hasira ikiisha, ila akigoma basi angalia namna ya kuchukua tu hilo goma ila for the time being wewe na huyo manz mpambanie kuokoa ndoa.
chukua tahadhari huyo jamaa akiamua kukutafuta itakua hatari hvyo play smart.
Mambo mengi ndio pamoja na ujuaji we unafikri mwenye mke akikufanyia mbaya itakuwajeSio ujuaji... Maisha yana mambo mengi