Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Mtoto anakuja weekends siku za wiki yuko kwao ubaya uko wapi? Pengine mazingira aliyopo mama yake sio rafiki kwa michezo labda kuna wahuni wengi au uswahilini mno. Wewe jibaba una complain
Target ya dada mtu na mdogo mtu nikama mtoto alelewe na mdogo wake yaan kwangu ili dada mtu aweze kupata nafasi yakufanya ujasiliamali Zaid hata aweze kusafiri
 
Ndo Target ya mke wangu na Dada yake mbeleni kuwa mtoto kamzoea mwenzie akae hapa hapa maana Dada mtu anashindwa toka fanya shuguli za ujasiliamali kusafiri Hana wakumuachia mtoto na hata akitoka shule inabid akachukue wakae nae sokoni.so only solution nikumleta kwa mdogo wake
 
Yy hataki kufanya hivyo kwa kuwa Baba mwenye mtoto yupo
 
Mkuu hakika wewe umenielewa vizur Sana..lengo lao mbeleni mtoto ahamie moja kwa moja maana ilishaanza ishara yakuwa watoto wamezoeana Sana so pia dada mtu pia shuguli zake hazifanyi kwa Uhuru sababu yamtoto Hana wakumuachia kumuangalia awapo ktk mihangaiko take analazimika awe nae Hilo ktk mihangaiko yake Hali baba wamtoto yupo nashuguli zake zakumpatia rizki hana habari
 
Hivi bado tuko kwenye primitive communalism? Why tumlazimishe mtu kua na roho ambayo hanayo? Maisha yamebadilika may be kuna risk anaiona mbeleni kwa kukaa na huyo mtoto..sema maisha yetu ya kiswahili kaazi kweli! Unamlazimisha mtu akusaidie[emoji2][emoji2]
 
Umeongea vizuru sana,ila bado kuna mijitu itatokea itarudi na kusema,jamaa ana roho mbaya.
Mkuu ww na bwana hammaz mmenielewa vizur Sana anachokieleza bwana hammazi ndio kinachoonekana kuja kutokea kwangu hapo mbele ya safar maana Kuna dalili naziona wazi
 
Mkuu unachokiongea upo sahihi Ila lengo lamke liko kwingne kabisa lengo nikumfanya mtoto wangu asiweze kuishi bila mtoto wa Dada maana yake wazoeane Zaid kiasi chakumfanya aweze kuhamia moja kwa moja kumlea kwaminajili ya kuzoeana Sana namtoto wetu
 
Kuzaa azae yeye malezi na matunzo ya mwanae awabwagie nyie?! Hebu mwambieni na nyie mumkabidhi watoto wenu mwambieni hatuna wa kumuachia tunapokuwa kwenye mihangaiko yetu.

Aongee na bwana wake aliyemzalisha waangalie hiyo changamoto wataitatua vipi! Au achukue ndugu atakaye kuwepo kwake muda wote wa kumuangalia mwanae.

Asitafute uhasama usio na sababu.
 
Kwa tabia za masingle mother hawa, hapo ameshampanga mdogo wake kisaikolojia umsaidie kulea, wao ni kama incubators, kutotolesha watoto malezi sifuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kabisa, halafu mbaya zaidi amevunja kabisa bond kati ya mtoto na baba yake kisa mama wa kambo. Huyo mtoto kuna kipindi akianza kujitambua ataanza kutaka kujua baba yake yuko wapi? Maana atakuwa anaona na kusikia wenzake wakijivuna na kuwaongelea mama na baba zao. Nachukia sana mijanamke ambayo ugomvi wao na waliozaa nao wanauhamishia kwa watoto. Sitashangaa akizalishwa mtoto wa pili na kumsukumia tena mdogo wake huku yeye anakula bata..

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ushazungumzia wangu, wa mwingine kama anakulia katika tabia chafu utakubali awe muda wote na mwanao
Mkuu mimi nakuelewa sana, komaa huyo single mother abebe mzigo wake... Hizo week ends ampeleke mtoto kwa baba yake ili mtoto amzoee baba yake na baba yake awajibike kimatunzo na malezi. Kwa maelezo yako huyo single mother Hana time kimalezi hivyo mtoto anaiga tabia za hovyo huko mtaani kwao na sasa anazileta hapo kwa mtoto wako, jambo hilo ni hatari baadae.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] sure mkuu hapo ameanza weekend ..huko mbeleni anamleta official ...wanapenda kitonga
Kabisa... Na asipoangalia atazaa mwingine na kumbwagia jamaa huku yeye anakula maisha [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wanaume ndo mnaproduce masingle mothers so saidianeni kulea, nini sasa mnalalamika?
Na huyo single mother aendelee kula bata na kutotoa wengine na kumtupia shemeji siyo? Kwa nini weeks ends asimpeleke kwa baba yake mzazi? Huyo mtoto wa miaka 6 kweli hana hamu na baba yake?

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Well said, halafu mtoto ananyimwa haki ya kwenda kwa baba yake mzazi eti kisa anaenda kwa shemeji. Na unaweza kukuta baba ya mtoto amechuna kwa sababu alimwambia mama amlete mtoto hataki au anasingizia mtoto yuko kwa shemeji yangu, hata ukija nyumbani hutamkuta. So jamaa naye kwa hasira kuchuna tuu... Lakini mimi bado nasema mtoto anakoseshwa haki ya kumuona baba yake kwa ujinga tuu wa huyo single mother.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwani walimzalia yeye mambo ya kuzaa kwenu kuje kutusumbua ndugu huo ubwege haukubariki.Mapenzi mfanye nyie miuno mkate nyie akitokea mtoto mniltee alooo tutatafutana ubaya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mtoto kuja tu weekend ndio imekuwa nongwa dah wabongo siku hizi bajet imekuwa kali sana.
Kwani hata gemu si huwa tunawaambia naomba niingize kichwa tuu, akikubali anastukia breki ni zile tenesi mbili [emoji23] [emoji23] [emoji23] so anaanza week end baadae analala siku kadhaa mwishowe kahamia jumla.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mama mtu nikama anataka jukumu lakumlea mtoto liwe kwake tu yaan mtoto asihusishwe na upande wababa mtoto aendelee kukua kwaupande kwakila kitu Hali baba yuhai na anamke na anashuguli zake zakumuingizia rizki
Anajidanganya tuu huyo single mother, mtoto akifika 15 yrs plus ataanza ku force kwenda kwa baba yake, apende asipende...

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Yaani umaskini usababishwe na mtoto wa miaka 6? Kwa kipi hasa?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…