Msaada: Mpenzi wangu sio mwaminifu ila kila nikimwambia tuachane analia

Msaada: Mpenzi wangu sio mwaminifu ila kila nikimwambia tuachane analia

Wanawake huwa hawaeleweki il Sijawai sikia kwamba mwanaume haeleweki
Nimekoma ubishi wangu, na hatimae leo nakiri hadharani kwamba uchawi kwenye mapenzi upo!!!

Yaani mtu anatafuta namna ya kuacha girlfriend with evidence pamoja na kuamini anagongwa na washikaji?!

We bhana sikiliza! In short huna ubavu wa kuacha demu, kwahiyo we endelea tu kugongewa manake hata ukijifanya kuacha, in two weeks utaenda kuomba msamaha as if we ndo mkosaji!

Halafu juzi niliuliza hapa jamvini lakini sikupata jibu! Hivi kwanini hapa JF ni wanaume ndo tunaongoza kulia lia habari za mapenzi?!
 
HAELEWEKI
Unahitaji Ushauri wakati kwa maelezo yako ni kwamba hakutaki? Hiyo kuonyesha wanatupenda ni anafanya danganya toto tu. Ukiendelea naye yapo mambo makuu mawili 1. Hasara ikukamate umuue au 2. Wewe Ujiue. Wanawake wako wengi ambao Mungu atakupa ubavu unao fit. Huyu atakuua kwa stress. Yaani enzi ZANGU nijue tu mtu anatia shaka. Yaani in no time nakufutilia mbali.
 
Huyu ni mpnz wangu wa 6 na katka wote huyu ndo nilikuwa na malengo naye kuliko wote
Nimekoma ubishi wangu, na hatimae leo nakiri hadharani kwamba uchawi kwenye mapenzi upo!!!

Yaani mtu anatafuta namna ya kuacha girlfriend with evidence pamoja na kuamini anagongwa na washikaji?!

We bhana sikiliza! In short huna ubavu wa kuacha demu, kwahiyo we endelea tu kugongewa manake hata ukijifanya kuacha, in two weeks utaenda kuomba msamaha as if we ndo mkosaji!

Halafu juzi niliuliza hapa jamvini lakini sikupata jibu! Hivi kwanini hapa JF ni wanaume ndo tunaongoza kulia lia habari za mapenzi?!
 
Kweli kabisa
Pole sana mtoa mada..

nakushauri achana na huyo mwanamke na pia
usikubali kumpa chance ya pili hata akitoa machozi kwani hata wezi wanalia

afu wanawake ni wepesi kusoma saikolojia ya mtu. kwamba amejua mapungufu/udhaifu wako na ndio anamo pitia mule mule..!

pia kapime kujua afya yako
 
Mkuu hiyo ni pisi kali kama hujui kwanza haupo vizuri kwenye game
Pili unafanya pesa ikusaidie kuchakata
Tatu hawezi kukuacha kwa sababu namba 2 inafanya kazi
Nne kaa mbali kubari machozi yake ya kufake baada ya miezi 2 utaanza kuelewa
Tano hiyo pisi haimalizi siku 3 bila kuomba posho kama nini wewe unaachishwa kazi kwenye mshahara mzuri hutalia
 
Mkuu hiyo ni pisi kali kama hujui kwanza haupo vizuri kwenye game
Pili unafanya pesa ikusaidie kuchakata
Tatu hawezi kukuacha kwa sababu namba 2 inafanya kazi
Nne kaa mbali kubari machozi yake ya kufake baada ya miezi 2 utaanza kuelewa
Tano hiyo pisi haimalizi siku 3 bila kuomba posho kama nini wewe unaachishwa kazi kwenye mshahara mzuri hutalia
Nimekupata mkuu
 
Kuna mambo hayahitaji ushauri
Fukuza
Kunguru hafugiki.
Unashindwa kujiongeza.
 
Hii picha umeidownload wapi?
Usishangae mtoa mada yuko kwa 19-24 , kibongo bongo hawa huwa bado wanasoma ,wanakaa kwao ,hana chanzo cha pesa , na hata kadem kake ni katoto kaumri ndio maana kako ivo .


Hata wee kwa Age yako ya 18-23 wakat unasoma, ulikua unaongwa vibuku buku kama ivo, dakika, sms n.k , labda kama ulikua unatoka na BAZAZI .


Hata ivo mpaka ananifikia mimi kiumri yaan miaka 28 yrs , atakua kama mimi,

Atakua Hana Nyumba ila kapanga Nyumba nzima yaan ana kwake.

Atakua na Pesa.

Atakua na miradi yake

Atakua na kazi nzuri n.k

Atakua na Gari..


Atapiga pisikali yoyote anayoihitaji[emoji23][emoji23][emoji23] kwa sababu atakua anahonga Kodi na kama hana akili .... Atakua mlevi na mtu wa wanawake kisha baada ya muda "Kitu maarufu kinaacha kudumu".View attachment 1618858View attachment 1618857View attachment 1618856
 
...ishi nae kwa akili,na usi ishi nae kihisia mwsho wa siku atakuelewa.

...I can imagine huyo demu wako alivyo.

1: age Kati 20- 23
2: mfupi kiasi
3: mnene kiasi
4: mpole
5: mweupe
4: ana huruma sana na anapenda Sana kucheka
5: anapenda sana chips soda
6: anauwezo mkubwa wa kupambanua mambo.
7: kama sio singo maza Basi mama yke singo maza au atakuwa na nyota ya usingo maza.
 
Back
Top Bottom