Msaada: Mpenzi wangu sio mwaminifu ila kila nikimwambia tuachane analia

Msaada: Mpenzi wangu sio mwaminifu ila kila nikimwambia tuachane analia

Habari wakuu wote ndani ya jukwaa hili la mahusiano na kwingineko pia, naimani wote mu wazima wa afya....

Bila kuchelewa naomba niende moja kwa moja kwenye maada

Iko hivi , nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye mahusiano mwaka wa 3 sasa. Yeye anaishi kwao mimi pia naishi kwetu ila najikuta kuna vtu vinanifanya nisimwamini hata siku moja na mpaka sasa bado simwamwini mwaka wa tatu sasa.

Shida alizonazo ni kwamba kwa miaka yote hii mitatu mwaka jana mwanzoni nilikuja kugundua kwamba anatoka na marafiki zangu wawili kwa wakati mmoja na alikuwa anafanya siri, baada ya kuchunguza na kufahamu sikumwambia nikakaa kimya kilichokuwa kinanitatiza ni kwamba mbona anaonesha kunisaliti lkn nikimtizama naona ananipenda kwa upendo wa dhati kabisa, ninachomwmbia anafuata, ananiheshimu, yani ana ishara zote zile za mapenzi ya dhati kwangu....

Nikapotezea ila kilichokuwa kinaniumiza ni kwamba ndiyo ana mapenz ya dhat kwangu ila kwann ana mahusiano pia nje? ... Baadae nikaja kumwambia naomba tuachane... Alilia huku anaomba msamaha kwamba hatorudia. Nikaja nikamsamehe (wale rafk zangu aliachana nao sasa sifahamu kwamba aliacha ama aliachwa? Maana rafiki zangu hao pia walisema kwamba hawamwelewi)

BALAA LINAPOANZIA
KUNA Vitu vinanitatiza sana Pia kwake.
  1. Kwa kipindi chote hiki cha mahusiano kinachonitatiza ni kwamba siku zote ambazo tumewai kutoka ama tunazokuwa tuko out, SIMU yake huwa haitoi kwenye pochi hata siku moja yaani unaweza kutana naye sehemu ya appoinment mnakaa mnaongea mpka mnaondoka simu yake haitoi.
  2. Appointment mpaka upange wewe yeye hajawai kuniambia hata siku moja, siku nyngne unapanga ila kwake excuse zinakuwa nyingi.
  3. Huwaga namtumia kifurushi cha sms cha mwezi cha sms 1000 , lkn cha ajabu ukichat naye dk 2 tu anakwmbia yuko BUSY, na kwa siku mnaweza kuta mnachat sms 10 tu kisingizio chake yuko busy na usiku anasema analala mapema sabb ya uchovu. KINACHONIUMIZA ndani ya wiki 2 anasema sms zimeisha zote 1000 wakati huwa hatuchat sana kwa kisingizio cha UBUSY, sasa je hizo sms 1000 zinaishije????

LICHA YA VYOTE HIVYO
SIKU UKIMWAMBIA TUACHANE ANALIA NA KUOMBA MSAADA KWA RAFIKI ZANGU WAMSAIDIE KUOMBA MSAMAA KWANGU

SASA JE!! KUNA MPENZI HAPA!!!!

Naombeni mnisaidie mbinu za kumuacha huyu msichana sabb nikisema kwa sasa kwmba ananisaliti ushahidi sina sabb smu yke sishiki na huwa haitoagi mbele yangu.

MSAADA WAPENDWA NIWEZE KUONDOKANA NA HII LAWAMA...

NAHITAJI KUMUACHA, JE NITUMIE MBINU GANI??????
Da katika vitu vinanisikitisha ni mwanaume ambaye hajui hatima ya maisha yake Sasa mtu unajua anakusaliti Tena na rafiki zako, halafu unaenda unauliza hao rafiki zako, da mkuu uwezo wako wa kufikiria ni mdogo Sana.

Tatizo la sisi watanzania wengi yaani hata common sense hatuna , da kweli hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa kuweza kufikiria

Sasa unataka ushauriwe nini ,umwache au usimwache? Hebu tumia akili utapata jibu you are not tabularasa.
 
Habari wakuu wote ndani ya jukwaa hili la mahusiano na kwingineko pia, naimani wote mu wazima wa afya....

Bila kuchelewa naomba niende moja kwa moja kwenye maada

Iko hivi , nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye mahusiano mwaka wa 3 sasa. Yeye anaishi kwao mimi pia naishi kwetu ila najikuta kuna vtu vinanifanya nisimwamini hata siku moja na mpaka sasa bado simwamwini mwaka wa tatu sasa.

Shida alizonazo ni kwamba kwa miaka yote hii mitatu mwaka jana mwanzoni nilikuja kugundua kwamba anatoka na marafiki zangu wawili kwa wakati mmoja na alikuwa anafanya siri, baada ya kuchunguza na kufahamu sikumwambia nikakaa kimya kilichokuwa kinanitatiza ni kwamba mbona anaonesha kunisaliti lkn nikimtizama naona ananipenda kwa upendo wa dhati kabisa, ninachomwmbia anafuata, ananiheshimu, yani ana ishara zote zile za mapenzi ya dhati kwangu....

Nikapotezea ila kilichokuwa kinaniumiza ni kwamba ndiyo ana mapenz ya dhat kwangu ila kwann ana mahusiano pia nje? ... Baadae nikaja kumwambia naomba tuachane... Alilia huku anaomba msamaha kwamba hatorudia. Nikaja nikamsamehe (wale rafk zangu aliachana nao sasa sifahamu kwamba aliacha ama aliachwa? Maana rafiki zangu hao pia walisema kwamba hawamwelewi)

BALAA LINAPOANZIA
KUNA Vitu vinanitatiza sana Pia kwake.
  1. Kwa kipindi chote hiki cha mahusiano kinachonitatiza ni kwamba siku zote ambazo tumewai kutoka ama tunazokuwa tuko out, SIMU yake huwa haitoi kwenye pochi hata siku moja yaani unaweza kutana naye sehemu ya appoinment mnakaa mnaongea mpka mnaondoka simu yake haitoi.
  2. Appointment mpaka upange wewe yeye hajawai kuniambia hata siku moja, siku nyngne unapanga ila kwake excuse zinakuwa nyingi.
  3. Huwaga namtumia kifurushi cha sms cha mwezi cha sms 1000 , lkn cha ajabu ukichat naye dk 2 tu anakwmbia yuko BUSY, na kwa siku mnaweza kuta mnachat sms 10 tu kisingizio chake yuko busy na usiku anasema analala mapema sabb ya uchovu. KINACHONIUMIZA ndani ya wiki 2 anasema sms zimeisha zote 1000 wakati huwa hatuchat sana kwa kisingizio cha UBUSY, sasa je hizo sms 1000 zinaishije????

LICHA YA VYOTE HIVYO
SIKU UKIMWAMBIA TUACHANE ANALIA NA KUOMBA MSAADA KWA RAFIKI ZANGU WAMSAIDIE KUOMBA MSAMAA KWANGU

SASA JE!! KUNA MPENZI HAPA!!!!

Naombeni mnisaidie mbinu za kumuacha huyu msichana sabb nikisema kwa sasa kwmba ananisaliti ushahidi sina sabb smu yke sishiki na huwa haitoagi mbele yangu.

MSAADA WAPENDWA NIWEZE KUONDOKANA NA HII LAWAMA...

NAHITAJI KUMUACHA, JE NITUMIE MBINU GANI??????
kuchat ni upuuz
 
ila leo nimecheka jamani kwa comment za humu mweee 🤣🤣🤣🤣🤣, back to the topic, sasa we mdogo wangu unataka mchat sms ngapi kwa siku? miaka mitatu ya mahusiano bado unataka mchata sms 50 kwa siku? mnakuwa mnaongea nini hicho ambacho hamjakiongea miaka yote? ndo mana mwenzio yanamshinda mana hana cha kuongea hata hizo sms 9 ushukuru anajitahidi. Lakini pia msichana ambae anatembea hadi na rafiki zako, huyo ni wakuomba ushauri wa jinsi ya kumuacha kweli? are u for really 🧐🧐? hayo machozi yake unazani yana maanisha kwamba anakupenda sana? acha ujinga dogo huyo ni bonge la actress akitoka hapo anakucheka ujinga,na ameshaujua udhaifu wako ndo mana anakuendesha hivyo, meeen there is nothing sad like a man in love
 
Habari wakuu wote ndani ya jukwaa hili la mahusiano na kwingineko pia, naimani wote mu wazima wa afya....

Bila kuchelewa naomba niende moja kwa moja kwenye maada

Iko hivi , nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye mahusiano mwaka wa 3 sasa. Yeye anaishi kwao mimi pia naishi kwetu ila najikuta kuna vtu vinanifanya nisimwamini hata siku moja na mpaka sasa bado simwamwini mwaka wa tatu sasa.

Shida alizonazo ni kwamba kwa miaka yote hii mitatu mwaka jana mwanzoni nilikuja kugundua kwamba anatoka na marafiki zangu wawili kwa wakati mmoja na alikuwa anafanya siri, baada ya kuchunguza na kufahamu sikumwambia nikakaa kimya kilichokuwa kinanitatiza ni kwamba mbona anaonesha kunisaliti lkn nikimtizama naona ananipenda kwa upendo wa dhati kabisa, ninachomwmbia anafuata, ananiheshimu, yani ana ishara zote zile za mapenzi ya dhati kwangu....

Nikapotezea ila kilichokuwa kinaniumiza ni kwamba ndiyo ana mapenz ya dhat kwangu ila kwann ana mahusiano pia nje? ... Baadae nikaja kumwambia naomba tuachane... Alilia huku anaomba msamaha kwamba hatorudia. Nikaja nikamsamehe (wale rafk zangu aliachana nao sasa sifahamu kwamba aliacha ama aliachwa? Maana rafiki zangu hao pia walisema kwamba hawamwelewi)

BALAA LINAPOANZIA
KUNA Vitu vinanitatiza sana Pia kwake.
  1. Kwa kipindi chote hiki cha mahusiano kinachonitatiza ni kwamba siku zote ambazo tumewai kutoka ama tunazokuwa tuko out, SIMU yake huwa haitoi kwenye pochi hata siku moja yaani unaweza kutana naye sehemu ya appoinment mnakaa mnaongea mpka mnaondoka simu yake haitoi.
  2. Appointment mpaka upange wewe yeye hajawai kuniambia hata siku moja, siku nyngne unapanga ila kwake excuse zinakuwa nyingi.
  3. Huwaga namtumia kifurushi cha sms cha mwezi cha sms 1000 , lkn cha ajabu ukichat naye dk 2 tu anakwmbia yuko BUSY, na kwa siku mnaweza kuta mnachat sms 10 tu kisingizio chake yuko busy na usiku anasema analala mapema sabb ya uchovu. KINACHONIUMIZA ndani ya wiki 2 anasema sms zimeisha zote 1000 wakati huwa hatuchat sana kwa kisingizio cha UBUSY, sasa je hizo sms 1000 zinaishije????

LICHA YA VYOTE HIVYO
SIKU UKIMWAMBIA TUACHANE ANALIA NA KUOMBA MSAADA KWA RAFIKI ZANGU WAMSAIDIE KUOMBA MSAMAA KWANGU

SASA JE!! KUNA MPENZI HAPA!!!!

Naombeni mnisaidie mbinu za kumuacha huyu msichana sabb nikisema kwa sasa kwmba ananisaliti ushahidi sina sabb smu yke sishiki na huwa haitoagi mbele yangu.

MSAADA WAPENDWA NIWEZE KUONDOKANA NA HII LAWAMA...

NAHITAJI KUMUACHA, JE NITUMIE MBINU GANI??????
kama hata mbinu ya kumuacha mwanamke huna, unajua mbinu gani sasa.
 
Habari wakuu wote ndani ya jukwaa hili la mahusiano na kwingineko pia, naimani wote mu wazima wa afya....

Bila kuchelewa naomba niende moja kwa moja kwenye maada

Iko hivi , nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye mahusiano mwaka wa 3 sasa. Yeye anaishi kwao mimi pia naishi kwetu ila najikuta kuna vtu vinanifanya nisimwamini hata siku moja na mpaka sasa bado simwamwini mwaka wa tatu sasa.

Shida alizonazo ni kwamba kwa miaka yote hii mitatu mwaka jana mwanzoni nilikuja kugundua kwamba anatoka na marafiki zangu wawili kwa wakati mmoja na alikuwa anafanya siri, baada ya kuchunguza na kufahamu sikumwambia nikakaa kimya kilichokuwa kinanitatiza ni kwamba mbona anaonesha kunisaliti lkn nikimtizama naona ananipenda kwa upendo wa dhati kabisa, ninachomwmbia anafuata, ananiheshimu, yani ana ishara zote zile za mapenzi ya dhati kwangu....

Nikapotezea ila kilichokuwa kinaniumiza ni kwamba ndiyo ana mapenz ya dhat kwangu ila kwann ana mahusiano pia nje? ... Baadae nikaja kumwambia naomba tuachane... Alilia huku anaomba msamaha kwamba hatorudia. Nikaja nikamsamehe (wale rafk zangu aliachana nao sasa sifahamu kwamba aliacha ama aliachwa? Maana rafiki zangu hao pia walisema kwamba hawamwelewi)

BALAA LINAPOANZIA
KUNA Vitu vinanitatiza sana Pia kwake.
  1. Kwa kipindi chote hiki cha mahusiano kinachonitatiza ni kwamba siku zote ambazo tumewai kutoka ama tunazokuwa tuko out, SIMU yake huwa haitoi kwenye pochi hata siku moja yaani unaweza kutana naye sehemu ya appoinment mnakaa mnaongea mpka mnaondoka simu yake haitoi.
  2. Appointment mpaka upange wewe yeye hajawai kuniambia hata siku moja, siku nyngne unapanga ila kwake excuse zinakuwa nyingi.
  3. Huwaga namtumia kifurushi cha sms cha mwezi cha sms 1000 , lkn cha ajabu ukichat naye dk 2 tu anakwmbia yuko BUSY, na kwa siku mnaweza kuta mnachat sms 10 tu kisingizio chake yuko busy na usiku anasema analala mapema sabb ya uchovu. KINACHONIUMIZA ndani ya wiki 2 anasema sms zimeisha zote 1000 wakati huwa hatuchat sana kwa kisingizio cha UBUSY, sasa je hizo sms 1000 zinaishije????

LICHA YA VYOTE HIVYO
SIKU UKIMWAMBIA TUACHANE ANALIA NA KUOMBA MSAADA KWA RAFIKI ZANGU WAMSAIDIE KUOMBA MSAMAA KWANGU

SASA JE!! KUNA MPENZI HAPA!!!!

Naombeni mnisaidie mbinu za kumuacha huyu msichana sabb nikisema kwa sasa kwmba ananisaliti ushahidi sina sabb smu yke sishiki na huwa haitoagi mbele yangu.

MSAADA WAPENDWA NIWEZE KUONDOKANA NA HII LAWAMA...

NAHITAJI KUMUACHA, JE NITUMIE MBINU GANI??????
Kwanza still wote watoto kwaio chkufnya ili usiumie tafta madem kma wa3 wa kuchat nao maan unaonekan shda yko n kuchat ili usiumie kila laheri

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kuchagua ni kuamua (decision) mfululizo wa matukio hayo katika mahusiano yenu, hayajatokea bahati mbaya, ila yalikua yanatokea ili ujue kwamba haya si mahusiano ambayo wewe muhusika uliyatarajia.Usipojifunza katika hayo si kosa ila yataendelea kujirudia mpaka pale utakaposema kuamua sasa basi. vinginevyo ustarajie miujiza
 
Habari wakuu wote ndani ya jukwaa hili la mahusiano na kwingineko pia, naimani wote mu wazima wa afya. Bila kuchelewa naomba niende moja kwa moja kwenye maada

Iko hivi, nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye mahusiano mwaka wa 3 sasa. Yeye anaishi kwao mimi pia naishi kwetu ila najikuta kuna vtu vinanifanya nisimwamini hata siku moja na mpaka sasa bado simwamwini mwaka wa tatu sasa.

Shida alizonazo ni kwamba kwa miaka yote hii mitatu mwaka jana mwanzoni nilikuja kugundua kwamba anatoka na marafiki zangu wawili kwa wakati mmoja na alikuwa anafanya siri, baada ya kuchunguza na kufahamu sikumwambia nikakaa kimya kilichokuwa kinanitatiza ni kwamba mbona anaonesha kunisaliti lkn nikimtizama naona ananipenda kwa upendo wa dhati kabisa, ninachomwmbia anafuata, ananiheshimu, yani ana ishara zote zile za mapenzi ya dhati kwangu.

Nikapotezea ila kilichokuwa kinaniumiza ni kwamba ndiyo ana mapenz ya dhat kwangu ila kwann ana mahusiano pia nje? ... Baadae nikaja kumwambia naomba tuachane... Alilia huku anaomba msamaha kwamba hatorudia. Nikaja nikamsamehe (wale rafk zangu aliachana nao sasa sifahamu kwamba aliacha ama aliachwa? Maana rafiki zangu hao pia walisema kwamba hawamwelewi)

BALAA LINAPOANZIA
KUNA Vitu vinanitatiza sana Pia kwake.
  1. Kwa kipindi chote hiki cha mahusiano kinachonitatiza ni kwamba siku zote ambazo tumewai kutoka ama tunazokuwa tuko out, SIMU yake huwa haitoi kwenye pochi hata siku moja yaani unaweza kutana naye sehemu ya appoinment mnakaa mnaongea mpka mnaondoka simu yake haitoi.
  2. Appointment mpaka upange wewe yeye hajawai kuniambia hata siku moja, siku nyngne unapanga ila kwake excuse zinakuwa nyingi.
  3. Huwaga namtumia kifurushi cha sms cha mwezi cha sms 1000 , lkn cha ajabu ukichat naye dk 2 tu anakwmbia yuko BUSY, na kwa siku mnaweza kuta mnachat sms 10 tu kisingizio chake yuko busy na usiku anasema analala mapema sabb ya uchovu. KINACHONIUMIZA ndani ya wiki 2 anasema sms zimeisha zote 1000 wakati huwa hatuchat sana kwa kisingizio cha UBUSY, sasa je hizo sms 1000 zinaishije?

LICHA YA VYOTE HIVYO
SIKU UKIMWAMBIA TUACHANE ANALIA NA KUOMBA MSAADA KWA RAFIKI ZANGU WAMSAIDIE KUOMBA MSAMAA KWANGU

SASA JE! KUNA MPENZI HAPA!

Naombeni mnisaidie mbinu za kumuacha huyu msichana sabb nikisema kwa sasa kwmba ananisaliti ushahidi sina sabb smu yke sishiki na huwa haitoagi mbele yangu.

MSAADA WAPENDWA NIWEZE KUONDOKANA NA HII LAWAMA...

NAHITAJI KUMUACHA, JE NITUMIE MBINU GANI?
Hakuna kitu kinaboa kama kuwa na mke mwenye mapenzi ila si muaminifu.
 
Yani Mwanamke anakucheat tena na rafiki zako af bado unamsamehe🤔🤔 Hivi nyie watu wengine mnatokea ukanda gan hapa Tanzania??
 
Mzee baba wewe piga game ya maana jiboreshe unapokwama pafanyie maboresho mpige vzur show mkoleze af utaona akiendelea na umalaya wake mteme chapu uyo sio dem
 
Maelezo yanaonyesha hupendwi lakini mwenyewe unaona unapendwa,sijui tukusaidieje
 
Yaani kumuacha mtu mpaka umuambie !??

We're jamaa unaishi katika karne ipi " kumuambia mtu kuwa tuachane hiyo imekaa kitoto Sana ..now days mnapotezeana tu kila mtu anashika njia yake' ..
 
Braza kaka kama unalia hivi alafu kumbe hujamuoa
Nikuambie mtu anayekupenda hawez kukosa time na wewe zingatia hili maisha yako yote
Nakazia [emoji419]

Mtu anaye kupenda wewe ndiye hugeuka kuwa SAA yake'
 
Back
Top Bottom