pascal luoga
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 233
- 264
- Thread starter
-
- #21
Nimekoma ubishi wangu, na hatimae leo nakiri hadharani kwamba uchawi kwenye mapenzi upo!!!
Yaani mtu anatafuta namna ya kuacha girlfriend with evidence pamoja na kuamini anagongwa na washikaji?!
We bhana sikiliza! In short huna ubavu wa kuacha demu, kwahiyo we endelea tu kugongewa manake hata ukijifanya kuacha, in two weeks utaenda kuomba msamaha as if we ndo mkosaji!
Halafu juzi niliuliza hapa jamvini lakini sikupata jibu! Hivi kwanini hapa JF ni wanaume ndo tunaongoza kulia lia habari za mapenzi?!
Unahitaji Ushauri wakati kwa maelezo yako ni kwamba hakutaki? Hiyo kuonyesha wanatupenda ni anafanya danganya toto tu. Ukiendelea naye yapo mambo makuu mawili 1. Hasara ikukamate umuue au 2. Wewe Ujiue. Wanawake wako wengi ambao Mungu atakupa ubavu unao fit. Huyu atakuua kwa stress. Yaani enzi ZANGU nijue tu mtu anatia shaka. Yaani in no time nakufutilia mbali.
Nimekoma ubishi wangu, na hatimae leo nakiri hadharani kwamba uchawi kwenye mapenzi upo!!!
Yaani mtu anatafuta namna ya kuacha girlfriend with evidence pamoja na kuamini anagongwa na washikaji?!
We bhana sikiliza! In short huna ubavu wa kuacha demu, kwahiyo we endelea tu kugongewa manake hata ukijifanya kuacha, in two weeks utaenda kuomba msamaha as if we ndo mkosaji!
Halafu juzi niliuliza hapa jamvini lakini sikupata jibu! Hivi kwanini hapa JF ni wanaume ndo tunaongoza kulia lia habari za mapenzi?!
Huwaga namuungaga tu tena huwa ni change zinazobakigi kwenye miamala yangu, ila matatzo yote ya kifedha huwaga namsaidia, niko vzur kidog kiuchumiKifurushi cha buku 2 kwa mwezi unaanzisha threedi
Pole sana mtoa mada..
nakushauri achana na huyo mwanamke na pia
usikubali kumpa chance ya pili hata akitoa machozi kwani hata wezi wanalia
afu wanawake ni wepesi kusoma saikolojia ya mtu. kwamba amejua mapungufu/udhaifu wako na ndio anamo pitia mule mule..!
pia kapime kujua afya yako
Kweli kabisaBraza kaka kama unalia hivi alafu kumbe hujamuoa
Nikuambie mtu anayekupenda hawez kukosa time na wewe zingatia hili maisha yako yote
Mchunie akikuuliza mwambie uko busy.
Kwisha habari yake
Mchunie akikuuliza mwambie uko busy.
Kwisha habari yake
Umenifurahisha sanaUnataka umuache alafu sms 1000 atapata wapi?
Nimekupata mkuuMkuu hiyo ni pisi kali kama hujui kwanza haupo vizuri kwenye game
Pili unafanya pesa ikusaidie kuchakata
Tatu hawezi kukuacha kwa sababu namba 2 inafanya kazi
Nne kaa mbali kubari machozi yake ya kufake baada ya miezi 2 utaanza kuelewa
Tano hiyo pisi haimalizi siku 3 bila kuomba posho kama nini wewe unaachishwa kazi kwenye mshahara mzuri hutalia
Sawa fata huu ushauri halafu acha kumuunga hivyo vifurushi.Angalau nimepata jibu
Yupo kwako kimaslahi zaidi ila wewe yote haya usimwambie kausha tu fanya yako, unaonekana una moyo mgumu tu huyo hawezi kukuchanganya yeye ndio atachanganyikiwa.Angalau nimepata jibu
Usishangae mtoa mada yuko kwa 19-24 , kibongo bongo hawa huwa bado wanasoma ,wanakaa kwao ,hana chanzo cha pesa , na hata kadem kake ni katoto kaumri ndio maana kako ivo .
Hata wee kwa Age yako ya 18-23 wakat unasoma, ulikua unaongwa vibuku buku kama ivo, dakika, sms n.k , labda kama ulikua unatoka na BAZAZI .
Hata ivo mpaka ananifikia mimi kiumri yaan miaka 28 yrs , atakua kama mimi,
Atakua Hana Nyumba ila kapanga Nyumba nzima yaan ana kwake.
Atakua na Pesa.
Atakua na miradi yake
Atakua na kazi nzuri n.k
Atakua na Gari..
Atapiga pisikali yoyote anayoihitaji[emoji23][emoji23][emoji23] kwa sababu atakua anahonga Kodi na kama hana akili .... Atakua mlevi na mtu wa wanawake kisha baada ya muda "Kitu maarufu kinaacha kudumu".View attachment 1618858View attachment 1618857View attachment 1618856
Mmh halafu nyie mbona wakubwa tu[emoji848]Yeye 23 mimi ni 25
The way tulivyojizoesha ndo imekiwa hvyoMmh halafu nyie mbona wakubwa tu[emoji848]
Mi nilidhani kati ya 17 to 18 yrs
Mweeh[emoji848][emoji28]
Punguza kumtafuta uwe bize, Kama anakupenda hawezi kuwa bize kila muda Bali atakuwa anampango wa kando.UKIMCHUNGUZA NI KAMA ANA MAMBO YA CHINI CHINI CHINI