Msaada: Mpenzi wangu sio mwaminifu ila kila nikimwambia tuachane analia

Huo sio Uchawi Ni ujinga Yaani hakuna kitu kibaya kwenye mahusiano Kama kuendekeza hisia za moyo wako bila kutaka kuishirikisha akili yako vyema
 
Huwaga namuungaga tu tena huwa ni change zinazobakigi kwenye miamala yangu, ila matatzo yote ya kifedha huwaga namsaidia, niko vzur kidog kiuchumi
Daah unatia huruma Sana[emoji26][emoji848]
 
Braza kaka kama unalia hivi alafu kumbe hujamuoa
Nikuambie mtu anayekupenda hawez kukosa time na wewe zingatia hili maisha yako yote
u know bro still sababu ambae unatueleza sisi ndo majibu yenyewe hayoo ww usitafute sabab zingine au unasubir mpk akupige na ki2 kizitoooooo kichwani ndo upate maamuzii
 

Sasa umekua wa kumpa vocha, lazima akulilie
 
Idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…