Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aha ila pande inakujaje apo sababu interview inafanyika utumishi kule, au kule kule mambo yanachezewaKomaa unaweza pata wako zaidi ya njema aisee ila nafasi bila pande zile acha kabisa
Hata Interview bado unawaza Mshahara,vijana wa siku hizi mna matatizo sana
kwan mtu akiomba kazi anakua anafikiria kupata nini mzee ? c pesa ili aendeshe maisha yake so nilazima kufikiria mshahara , au wewe unawazaga kujitoleaHata Interview bado unawaza Mshahara,vijana wa siku hizi mna matatizo sana
sawa mkuu
utaniulizia kwa kijana mkuuNina kijana kapata hapo field
Hivi unajua TCAA wenyewe wanakusoma HAPA?utaniulizia kwa kijana mkuu
😂😂😂Hivi unajua TCAA wenyewe wanakusoma HAPA?
Sawa chief ni intake ya mwezi wa 7-9utaniulizia kwa kijana mkuu
sawa tu, kwani nimevunja sheria mzee?Hivi unajua TCAA wenyewe wanakusoma HAPA?
Ungewafuata wenyewe uwaulize kwani unataka kuwaibia unaogopa Nini km wewe ni Mfanyakazi wao mtarajiwa?sawa tu, kwani nimevunja sheria mzee?
mimi nimeuliza kwa wadau wanaofahamu, ww kama unaona hujui c ungepeita tu kuna ulazima wowote kucomment mzee? au ndo unautafuta umaarufu uonekane?Ungewafuata wenyewe uwaulize kwani unataka kuwaibia unaogopa Nini km wewe ni Mfanyakazi wao mtarajiwa?
hahaha 😀mtu mwenyewe c ndo mimiHiyo nafasi Mbona ina mtu tayari?
Nenda Ofisi za TCAA pale kawaulize kwa level HIO watakulipa kiasi gani maana wewe haufuati kazi unafuata PESAmimi nimeuliza kwa wadau wanaofahamu, ww kama unaona hujui c ungepeita tu kuna ulazima wowote kucomment mzee? au ndo unautafuta umaarufu uonekane?