- Thread starter
- #21
sawa kiongoziMkuu watu maofisini hawazingatii mshahara watu wanapigania allowance so nadhani mambo huko yatakuwa ni mazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa kiongoziMkuu watu maofisini hawazingatii mshahara watu wanapigania allowance so nadhani mambo huko yatakuwa ni mazuri
Basi sawa.hahaha 😀mtu mwenyewe c ndo mimi
ok ntaenda, umeridhika sasa😀Nenda Ofisi za TCAA pale kawaulize kwa level HIO watakulipa kiasi gani maana wewe haufuati kazi unafuata PESA
👍Basi sawa.
Hapa tu ndio nimejua mtoa mada hajapevuka kiakili. Utumishi wanaweza kutangana nafasi ambayo haiko wazi na mkaitwa interview mkasafiri kutoka mikoani na wanajua nafasi haiko wazi kuna mtu au watu washapokea mishahara miezi kazaa. Ila inatangazwa kwa mujibu wa sheria tu. WHO CARES?aha ila pande inakujaje apo sababu interview inafanyika utumishi kule, au kule kule mambo yanachezewa
This is Africa, emu elezea vizuri hapo nilipo BOLD ili uwasaidie Jobless WOTE wanaosugua BenchHapa tu ndio nimejua mtoa mada hajapevuka kiakili. Utumishi wanaweza kutangana nafasi ambayo haiko wazi na mkaitwa interview mkasafiri kutoka mikoani na wanajua nafasi haiko wazi kuna mtu au watu washapokea mishahara miezi kazaa. Ila inatangazwa kwa mujibu wa sheria tu. WHO CARES?
Milioni 50.kwa saaWakuu habari za mda huu, naomba kufahamu TCAA mtu wa Diploma of aviation aweza kulipwa kiasi gani na jinsi wanavyofanya kazi, maana nimeona nafasi sehemu.
ASANTENI.
Milioni 50 tuhahaha 😀mtu mwenyewe c ndo mimi
Hapa tu ndio nimejua mtoa mada hajapevuka kiakili. Utumishi wanaweza kutangana nafasi ambayo haiko wazi na mkaitwa interview mkasafiri kutoka mikoani na wanajua nafasi haiko wazi kuna mtu au watu washapokea mishahara miezi kazaa. Ila inatangazwa kwa mujibu wa sheria tu. WHO
shukrani kwa ufafanuzi mkuuMamlaka ya anga kama unayo kweli diploma hyo
Bila posho ya shiling lak 4 hapo utakunja take home 720000
Tusitafutane
Msalimie sana hamza johari DG
unaleta utaniMilioni 50 tu
Sawa wewe umepevuka kiakili endeleaHapa tu ndio nimejua mtoa mada hajapevuka kiakili. Utumishi wanaweza kutangana nafasi ambayo haiko wazi na mkaitwa interview mkasafiri kutoka mikoani na wanajua nafasi haiko wazi kuna mtu au watu washapokea mishahara miezi kazaa. Ila inatangazwa kwa mujibu wa sheria tu. WHO CARES?
We nae bendera fata upepo hamna kituThis is Africa, emu elezea vizuri hapo nilipo BOLD ili uwasaidie Jobless WOTE wanaosugua Bench
Sijaku-QUOTE wewe jiheshimu kijanaWe nae bendera fata upepo hamna kitu
itajulikana tuSiku ya interview utawauliza mshahara ni kiasi gani!
we umelazimishwa kucoment c upite tu mzeeSijaku-QUOTE wewe jiheshimu kijana
Dogo kumbe unawaza mshahara hata interview Bado hujafanya?🤣🤣🤣aha ila pande inakujaje apo sababu interview inafanyika utumishi kule, au kule kule mambo yanachezewa
sasa mzee unataka niwaze nini apo😀😁Dogo kumbe unawaza mshahara hata interview Bado hujafanya?🤣🤣🤣
Kupass interview kwanzasasa mzee unataka niwaze nini apo😀😁
interview uhakika iyoKupass interview kwanza