B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
MSAADA: mtoto anasumbulia na sikio. Linauma na kutoa usaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mda wote hujenda spitali kaka ?MSAADA: mtoto anasumbulia na sikio. Linauma na kutoa usaha.
Mda wote hujenda spitali kaka ?
Nenda spitali hilo sio tatizo la leo kama anatoa usaha.
Atapona huwenda ni otitis media tu hiyo,nenda spitali kaka kwa maelezo zaidi
Kimbiza mtoto hospitalUnajua ni mtoto kwaiyo kujua imekuwa ngumu, toka ameanza kulalamika sikio leo ni siku ya pili
MSAADA: mtoto anasumbulia na sikio. Linauma na kutoa usaha.
Nenda spitali mzee acha kuwaste time JF.Unajua ni mtoto kwaiyo kujua imekuwa ngumu, toka ameanza kulalamika sikio leo ni siku ya pili
Umekuja huku kama alternative baada ya kwenda hospitali au JF ndio kituo cha kwanza?
Mda wote hujenda spitali kaka ?
Nenda spitali hilo sio tatizo la leo kama anatoa usaha.
Atapona huwenda ni otitis media tu hiyo,nenda spitali kaka kwa maelezo zaidi
Kimbiza mtoto hospital
Unless unataka awe mlemavu
tumia mkojo wa asubuhi naskia inasaidia sana
Nenda spitali mzee acha kuwaste time JF.
Ukirudi ndio lete stori,now ni afya ya dogo kwanza
ndioMkojo wake
ndio