MSAADA: Mtoto anasumbulia na sikio, linauma na kutoa usaha

MSAADA: Mtoto anasumbulia na sikio, linauma na kutoa usaha

Tafuta msaada wa daktari haraka iwezekanavyo maana usaha ni dalili ya maambukizi/infection na inawezekana kukawa na tatizo ndani ya sikio lenye kuhitaji tiba ya haraka.
 
Tafuta dawa Inaitwa CANDIBIOTIC EAR DROP.

School of thought:
Sikio likiwa na usaha hasa huu uliofikia kutoka wenyewe nje, si vyema sana kutumia ear drop/dawa ya kudondoshea. Kwani dawa hiyo huenda kuelea kwenye usaha na kuwa sehemu ya bakteria kuzaliana. Njia ya dawa ya kunywa ndiyo hupendekezwa zaidi.

Hivyo, kwa kuwa hatujui umri, uzito, allergy na hali kamili ya sikio ni vyema kufika kwenye kituo cha afya kwa uangalizi na tiba zaidi.

Pia hii itatoa nafasi kwa daktari au mtoa huduma kueleza utumie dawa kwa muda gani/duration.
 
Mambo ya ugonjwa huwezi kupata suluhisho kwenye social media ndugu, mbona simple tu ukiumwa nenda hospitali
 
School of thought:
Sikio likiwa na usaha hasa huu uliofikia kutoka wenyewe nje, si vyema sana kutumia ear drop/dawa ya kudondoshea. Kwani dawa hiyo huenda kuelea kwenye usaha na kuwa sehemu ya bakteria kuzaliana. Njia ya dawa ya kunywa ndiyo hupendekezwa zaidi.

Hivyo, kwa kuwa hatujui umri, uzito, allergy na hali kamili ya sikio ni vyema kufika kwenye kituo cha afya kwa uangalizi na tiba zaidi.
Sikio kutoa usaha sio kwamba lote linakua limejaa usahaa ndugu...
 
Huwezi kumpa dawa bila kujua tatizo. Mwache aende hospitali tuache ujuaji. Hiyo ni taaluma kuna watu wamesomea
Wewe hiyo candibiotic unaijua??? Hujui hata kama kuna kitu hicho duniani so wew ndo unaleta ujuaji... Mimi nakijua ninachoongea hapaa
 
Kama sikio limeshindikana kupona hosp jaribu Mafuta ya kuku au jani la bangi fikicha dondoshea matone yake
 
Wewe hiyo candibiotic unaijua??? Hujui hata kama kuna kitu hicho duniani so wew ndo unaleta ujuaji... Mimi nakijua ninachoongea hapaa

Candibiotic ni: ofloxacin na dexamethasone.

Suala zuri ni ku-review haya mambo siyo kukasirika na kuona kuwa ni ujuaji. Hapa waweza kuongeza maarifa uliyonayo pia.

Kama nimekosea tusameheane.
 
Candibiotic ni: ofloxacin na dexamethasone.

Suala zuri ni ku-review haya mambo siyo kukasirika na kuona kuwa ni ujuaji. Hapa waweza kuongeza maarifa uliyonayo pia.

Kama nimekosea tusameheane.
Wew ndo ulieanza kuleta habari za ujuaji.. Mtu kauliza dawa ya sikio lina shida flani wengi wamepewa hiyo dawa wamepona kumuona Dr 20000.. aandikiwe dawa 10000 sasa mtu anauliza at least apate mwanga ikiwezekana anunue dawa mtoto apewe apone nyie mnaanza kumshambulia aende hospital kama yeye hakujui Hospital. Ubaya hata akiend hukp hospital hakuna kipya atakachopewa zaidi aongezewe antibiotic bhasi.
 
Hivi huko shule mlikuwa mnasoma nini
Why are you committing which craft nin umuhim wa ku take hx ge na laboratory testing
Hapo mwenzetu unatibu nini mnadharirisha sana hii tasnia
 
Hivi huko shule mlikuwa mnasoma nini
Why are committing which craft nin umuhim wa ku take hx ge na laboratory testing
Hapo mwenzetu unatibu nini mnadharirisha sana hii tasnia
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wabongo bhanaa...!! Hizo famasi mtaani zisingekuwepo
 
Wew ndo ulieanza kuleta habari za ujuaji.. Mtu kauliza dawa ya sikio lina shida flani wengi wamepewa hiyo dawa wamepona kumuona Dr 20000.. aandikiwe dawa 10000 sasa mtu anauliza at least apate mwanga ikiwezekana anunue dawa mtoto apewe apone nyie mnaanza kumshambulia aende hospital kama yeye hakujui Hospital. Ubaya hata akiend hukp hospital hakuna kipya atakachopewa zaidi aongezewe antibiotic bhasi.

Samahani kama nimekukwaza, ila kuna nafasi ya kujifunza zaidi kati yetu. Mawazo juu ya utabibu yanabadilika kila siku na wakati mwingine cheap may become expensive if not well treated/handled.
 
Samahani kama nimekukwaza, ila kuna nafasi ya kujifunza zaidi kati yetu. Mawazo juu ya utabibu yanabadilika kila siku na wakati mwingine cheap may become expensive if not well treated/handed.
Haya bhasi aende huko hospital wakachukue wakafanye culture asubiri majibu ndo apewe dawa...!!
 
Haya bhasi aende huko hospital wakachukue wakafanye culture asubiri majibu ndo apewe dawa...!!

Relax man, wala huitaji culture. Pumzika utapitia baadaye haya mambo. Mimi pia naendelea kujifunza toka kwako.

Kumbuka lengo letu kuu ni kumsaidia mgonjwa.
 
Relax man, wala huitaji culture. Pumzika utapitia baadaye haya mambo. Mimi pia naendelea kujifunza toka kwako.

Kumbuka lengo letu kuu ni kumsaidia mgonjwa.
Yaah hiyo ndo target so tuko pamoja mkuu...!!
 
Back
Top Bottom