malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habari wakuu nimekuja kwenu kutaka mawazo bint yangu wa Umri miezi 6.5 hatambai ukimuweka hata kujaribu kumove hamna... anakua kama anataka kujivuta hawezi kabisa kumove Wala kutambaa. Nimekuja kwenu kutaka ushauri nini chakunya aweze kutambaa kumove na kusimama.
Naaambiwa kuwa na watu kwa umri wa miezi sita alitakiwa awe ameanza kutambaa, msaada wenu wakuu.
Naaambiwa kuwa na watu kwa umri wa miezi sita alitakiwa awe ameanza kutambaa, msaada wenu wakuu.