Sijakuelewa hutaki kugongwa na mumeo?Hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Hujamuelewa.Sijakuelewa hutaki kugongwa na mumeo?
Zaidi ya sex, mume wake hana amshaamsha.Uliolewa ili iweje km hautaki kusex na mumeo?
Hataki kusex Sasa anataka nini wakati kakubari mwenyewe kuolewa?Hujamuelewa.
Drama za nini ili iweje awashe TV tu atazikuta DramaZaidi ya sex, mume wake hana drama.
Unataka uchukue maamuzi gani? Sema usaidiwe.Habari wana jamii
Napitia maumiv sana kwenye ndoa yangu naomba kushea hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini. Hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae Mara kadhaa lakini habadiriki sasa nashindwa kuelewa. Lqbda wanandoa mje nifafa nulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki.??
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Tupe hadithi.hehehehh! b'damu tuna kawaida ya kujitafutia matatizo! binafsi najuta kujifanya rafiki kwa wifi yako.
Mkizidisha urafiki Mwisho utampanda kichwani inaonekana mumeo ni mtu wa misimamo ashakutambua kwamba akikuletea mazoea hata sex utaanza kumpangia ratiba hamchekewi, kuishi na ninyi inabidi uwe na tahadhari bila hivyo lolote laweza kutokeaJe MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki.??
Ndoa ina muda gani?Habari wana jamii
Napitia maumiv sana kwenye ndoa yangu naomba kushea hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini. Hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae Mara kadhaa lakini habadiriki sasa nashindwa kuelewa. Lqbda wanandoa mje nifafa nulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki.??
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Sema hii noma.Mkizidisha urafiki Mwisho utampanda kichwani inaonekana mumeo ni mtu wa misimamo ashakutambua kwamba akikuletea mazoea hata sex utaanza kumpangia ratiba hamchekewi, kuishi na ninyi inabidi uwe na tahadhari bila hivyo lolote laweza kutokea
Jana kuna Mzee kachoma nyumba yake kamletea mkewe mazoea mazoea wamezaa mtoto wa Mwisho eti Mwanamke hataki kumpa anamwambia mtoto sio wa kwake alafu ni mke wake wa Ndoa, Mzee Marwa kachoma nyumba Moto hadi imekua majivu kwa hasira
mazoea yana tabu.Tupe hadithi.