RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Sana, ila utuambie sasa.mazoea yana tabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana, ila utuambie sasa.mazoea yana tabu.
Asingempenda asimgemuoa.Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Mazoea yakizidi sana ni balaa, hamchelewi kupanda kichwani na kuanza kumuendesha Mwanaume mnavyotaka nyinyi Sasa Mwanaume anaejielewa anaweka misimamo yake tuzoeane Ila tusizoeane sana maana mazoea yakizidi sana utaanza kuniona Mimi km kaka yako tuHakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Achana naye upate mwingine kama wanapatikana kwa urahisi hivyo.Habari wana jamii
Napitia maumiv sana kwenye ndoa yangu naomba kushea hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini. Hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae Mara kadhaa lakini habadiriki sasa nashindwa kuelewa. Lqbda wanandoa mje nifafa nulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki.??
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Wanawake wana back-up sikuzote.Achana naye upate mwingine kama wanapatikana kwa urahisi hivyo.
pengine other factors ndio zilipelekea kuundwa kwa hiyo ndoa…Asingempenda asimgemuoa.
Amesema anaongea sana?Punguza mdomo
Wanawake wana back-up sikuzote.
Mingi sana hapo na watoto ni watatu,Miaka mitatu
Ni ukweli mtupu.
Binti wa 2001 una ndoa ya miaka 3?Miaka mitatu
Hufurahii sex na mumeo?Habari wana jamii
Napitia maumiv sana kwenye ndoa yangu naomba kushea hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini. Hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae Mara kadhaa lakini habadiriki sasa nashindwa kuelewa. Lqbda wanandoa mje nifafa nulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki.??
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Ila si anakupa mtalimbo?Inaumiza mwenzi wako kutoshare muda na wewe, kuna watu mke/ mume ni kitandani tuu akimaliza katoka.
Utaambiwa miaka mitatu mtoto ni mmoja tena huyo mmoja jamaa katunukiwa kwa mbinde, na inaweza ikawa hata sio wa kwake masikini ya Mungu na hajui Bora aendelee kua mkimya tuBinti wa 2001 una ndoa ya miaka 3?
nisamehe, ila nashindwa kuelewa
Kwa utandawazi wa sasa sio rahisi, wanaume hawachaguliwi mke kama zamani.pengine other factors ndio zilipelekea kuundwa kwa hiyo ndoa…