Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Sijakuelewa kwakweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawahi sex halafu mtu haonyeshi ushirikiano.Ila si anakupa mtalimbo?
Sikuhizi meza imepinduka, wanawake wanacheat sana hata uwanyegeshe vipi, hisia zikipotea tu, ndo basi tena.Utaambiwa miaka mitatu mtoto ni mmoja tena huyo mmoja jamaa katunukiwa kwa mbinde, na inaweza ikawa hata sio wa kwake masikini ya Mungu na hajui Bora aendelee kua mkimya tu
Inaboa kinyama, stimu inakata. Ila kama pipe inaingizwa na anafika , sioni shida hapo.Umeshawahi sex alafu mtu haonyeshi ushirikiano.
Kwani wameanza Jana?Sikuhizi meza imepinduka, wanawake wanacheat sana hata uwanyegeshe vipi, hisia zikipotea tu, ndo basi tena.
Karibu jfMiaka mitatu
Kivipi?Kwani wameanza Jana?
Unataka ushirikiano upi? Kwani kitendo Cha kukuingizia sio ushirikiano huo?Umeshawahi sex alafu mtu haonyeshi ushirikiano.
Wameanza Jana kuuza Mechi?Kivipi?
Hapana. Ila enzi zile yalikuwa kwa uchache sana.Wameanza Jana kuuza Mechi?
Aise wanawake duuuh, haya abweteke akae na wewe huduma zikilega utakuja na uzi mume wako hatimizi majukumu ya kukuhudumia.Habari wana jamii
Napitia maumiv sana kwenye ndoa yangu naomba kushea hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini. Hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae Mara kadhaa lakini habadiriki sasa nashindwa kuelewa. Lqbda wanandoa mje nifafa nulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki.??
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Umeongea vizuri sana Mkuu. Wanawake wengi siku hizi haswa Wenye kipato Kidogo wanafeli hapa. Wanadhani wanakaa na maroboti au watoto wao vyumbani. Ndio shida za kukurupuka kuingia kwenye Ndoa bila Mafundisho ya kutosha.Hapati furaha na amani ya kukaa na kuongea nawe; jaribu kuangalia vema jinsi unavyoongea naye kama mda mwingi una mbishia, mkaripia au unaongea kama cherehani hawezi kupata hamu ya kukaa kupiga story nawe.
Huyo mzee hana akili 😂Mzee Marwa kachoma nyumba Moto hadi imekua majivu kwa hasira
Afike wapi sasa wakati bint anakinyongo, kama una ndoa utamuelewa hiyo bidada. Kama huna subiri mwanzo wa ngoma ndiyo utajua mziki wa huyo dada.Inaboa kinyama, stimu inakata. Ila kama pipe inaingizwa na anafika , sioni shida hapo.
Siku pia akikutana na mkunaji mzuri kuliko wewe , atamwagiwa sifa na wewe kutukanwa. Kweli hapa wanaume ni kufanya unachokiweza na wala usiwawazie.Aise wanawake duuuh, haya abweteke akae na wewe huduma zikilega utakuja na uzi mume wako hatimizi majukumu ya kukuhudumia.
Sasa akae na wewe hela za kukuhudumia zitadondoka kutoka mbinguni ?! Kimsingi mwanamke daima atalalamika tu mmeumbwa kubwabwaja, kuishi na mwanamke kunataka roho ya chuma.
Mwanaume mwenzangu kamwe hauwezi kumfurahisha mwanamke fanya wajibu wako basi, mwanamke hata umnunulie Range model 2022 atajichekesha siku ukishindwa kumnunulia mafuta akatokea jamaa akampa 30K ya mafuta utatukanwa matusi yote na jamaa atamwagiwa sifa kedekede.
Kabisa hata mimi nimeliona hili.Sijui nimekuelewa, Nilichoelewa ni kwamba mumeo hana muda wa kukushirikisha/kujadiliana chochote hata kama kuna uwezekano wa kutokea hatari/madhara.
Nakumbuka hii hali nikiwa nakuwa mama alikuwa akilalama kutoshirikishwa au kutokuongea as family na mzee. Madhara yalionekana kwa baadhi ya mambo ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wa mama ila kutokana na hali hiyo ilikuwa ngumu kwake kufanya chochote. Mzee kaja kuchange jua lishazama na mambo mengi yameshavurugika. Hata taarifa tu kumshirikisha mwenzie ilikuwa changamoto, ye ni kufoka tu baada ya madhara. Hii kitu mpaka nakuwa najitambua niliona mwenyewe mzee alikuwa anazingua kwanza hakubali kushaurika mpaka kesho hii tabia anayo, atatafuta solution baada ya mambo kuharibika ndio ataanza kusema sasa hapa tunafanyaje. Mambo mengi yamefeli kwa sababu hiyo.
Sio kila kitu ni cha kushirikishana/kuongea ila kuna mambo ambayo ni vizuri kushirikiana na mwenza wako kama familia.
Sometimes kuna wanawake hawavutii kukaa na kuongea nao. Mfano: Mwanamke kila mkiongea anataka kua mbishi, au yeye ndo anatoa sauti ya juu kuliko mwanaume hapa inakata stimu kabisa ya kupiga nae story.Hakupendi huyo [emoji23] au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute [emoji3][emoji1787]
Kuwa na ndoa kwanzaUnataka ushirikiano upi? Kwani kitendo Cha kukuingizia sio ushirikiano huo?