Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Ndo maana ya kuolewa hiyo
 
Pole sana, ongea naye mwambie vile unavyojisikia kwa kitendo cha yeye kukunyima muda wake wa kukaa muongee km marafiki.
Akileta ujuaji achana naye 😂😂😂
 
Pole sana, ongea naye mwambie vile unavyojisikia kwa kitendo cha yeye kukunyima muda wake wa kukaa muongee km marafiki.
Akileta ujuaji achana naye 😂😂😂
🤣🤣Aachane naye wapi
Wakati ye hausigeli?
Avumilie kumbatwo daily hadi azeeke
Si mnataka mteremko
Vumilia mjegeje huo
Tena akirudi akukute uchi chumbani umeichanua😂ye ni kuchomeka tu
 
Niliwahi kuwa na x wa hivi jamani usikatize mbele yako kakudaka
Na energy yupo full
Kwa usiku mmoja ukimchekea anakukula hata vitatu vile vya dakika 40 40
Na alikuwa amejaaliwa Dhakari kubwa
mashalaah
Basi alikuwa ni kampa kampa tena anapenda sex vibaya sana
We dada ongea naye taratibu ila vinachoshaga sana usisahau kilainishi utaenjoy kidogo 😛
 
Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.

Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
huyu atakuwa mwongeje kama dada wa kikuu ndo mana jamaa hampi time ya kuongea mana anajua ni zaidi ya mbwiga.
 
Uliolewa ili mumeo akukande kila anapojisikia ko kuwa mvumilivu hiyo ndiyo maana ya 'ndoa'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…