Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Hapa kweli huenda hamna la kuongeaMimi 22 yeye 35
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kweli huenda hamna la kuongeaMimi 22 yeye 35
Kwahyo badala yake kwa matendo hayo anapata hamu ya kusex???Hapati furaha na amani ya kukaa na kuongea nawe; jaribu kuangalia vema jinsi unavyoongea naye kama mda mwingi una mbishia, mkaripia au unaongea kama cherehani hawezi kupata hamu ya kukaa kupiga story nawe.
Mhhh umeshaingia ndowaniii??? 🫣 🤣 🤣 🤣Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Chaiii eti eeeBinti wa 2001 una ndoa ya miaka 3?
nisamehe, ila nashindwa kuelewa
Hapati furaha na amani ya kukaa na kuongea nawe; jaribu kuangalia vema jinsi unavyoongea naye kama mda mwingi una mbishia, mkaripia au unaongea kama cherehani hawezi kupata hamu ya kukaa kupiga story nawe.
Waelese mkuuHakupendi huyo [emoji23] au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute [emoji3][emoji1787]
Sio wote wanaooana wanapendana nduguAsingempenda asimgemuoa.
Yani ni shida sana mkuu,mke na mume kawaida wanatakiwa kuwa marafiki,watani nk,sio mume anakuwa kama mfalme na mke kama kijakaziInaumiza mwenzi wako kutoshare muda na wewe, kuna watu mke/ mume ni kitandani tuu akimaliza katoka.
Angekuwa anakupa attention halafu hakuchakati au hakupi hela napo ungelamika, unataka upate vyote umekuwa nani? Wanawake hamjui mnachokitaka.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Alianza kuuchezea akiwa darasa la kwanzaBinti wa 2001 una ndoa ya miaka 3?
nisamehe, ila nashindwa kuelewa
Haki mm nisipompa ubuyu Koo linawasha nae utasikia nipe huo ubuyu basi 😂😂😂Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Wale woote waliokuwa kwenye ndoa wanaelewa tabu ya hiyo bibie.Yani ni shida sana mkuu,mke na mume kawaida wanatakiwa kuwa marafiki,watani nk,sio mume anakuwa kama mfalme na mke kama kijakazi
Hamna pipo zinapenda umbea kwa wapenzi wao kama nyie wanaume, tena mnaulizaga kabisa haijalishi mna ma phd wala vyeo vyenu,, ila hii ni kama kuna urafiki kinyume na hapo sura mbuzi na kauzu tuUkipiga umbea na mwanamke sasa utakua na tofauti gani na shoga zake.
Sex tu ndo mpango mzima🤣Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.