Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Sasa wewe muda wa kukaa wa nini? Wenzako wanakaa mpaka kunaota kutu. Shukuru umepata roboti.
 
Haki mm nisipompa ubuyu Koo linawasha nae utasikia nipe huo ubuyu basi [emoji23][emoji23][emoji23]
Shangazi anko nae anataka ubuyuuu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muambie aache, akizoea atapata tabu.
 
Hapo kwanza nicheke.... nway ingawa mimi sio mwanaume ila nikiwaza kama jamaa
Gap leni 14 yrs ni kubwa sana itachukua muda na juhudi za ziada kutengeneza huo urafiki unaotaka
Cha pili mwenzio anawaza ameweka mtoto mbichi ndani na inaonesha ni mtu wa kujistiri plus kwa umri wako kabla yake hujatumika kabisa au kidogo sana hivyo unawaka waka kama taa, ngozi imekubali joto la juba.
So muda mwingi unamvutia, sasa mwanaume anaeswali sana hanywi pombe na mpira sio kivile so starehe yake ni MAUTAMU.
In summary
Mume asiye na mambo mengi+mke mbichi+mlaini anawaka kama mtoto= ni shughuli kwa kwenda mbele mpaka umri wa sex drive kupungua ufike hivyo vumilia

MIMI KAMA MWANAMKE
kwanza achana na mawazo ya kuachika, kila kitu ni hatua
1. Kwanza take time kushukuru Mungu umepata mwanaume anaejua nafasi yake ndani ya nyumba
2. Shukuru Mungu kiu zake za kimwili anapenda kuzipata kwako hivyo itoshe kusema UNAMVUTIA SANA
3. Kubali kwamba jamaa ni mtu mzima sana kwako so anakuchukulia kama katoto tu somehow (14 yrs age gap ni generations tofauti)
4. Achana na kuomba urafiki fanya kwa vitendo
ā—Zile hela za meza anakupea bana bana once in a while mtoe ndani ya nyumba mkae sehemu mle chakula then ingizia vistory vyako au kama kuna jambo linahitaji ushauri hapo
ā—Pitia urban games instagram wana games kama karata, nunua hizo muwe mnacheza once in a while
ā—Ingizia story muda wa kutafuta kipindi cha pili na kuendelea
ā—Mshirikishe kila unapotaka kununua vitu vipya vya kuvaa na kujipamba akusaidie
ā—Mchombeze recipes mpya za mapishi n.k kila ukitaka kupika kitu kipya
5. Kama hamna watoto hebu beba mimba utapumzika na mtoto akizaliwa kuna bond ingine itaongezeka kati yenu nje ya sex
6. Fanya kama unamwa nenda hospitali rudi na diagnosis ya kupunguza mikito ifanyike kwa kiasi ili upate kupumua na huo muda ndo utumie kuanza kujenga urafiki unaotaka
 
Pengne unamaongez sio ya tija kwako jarbu kubadilika
 
Kama anaprovide mahitaji yote ya nyumbani, hayo mengine madogo madogo, otherwise kuna mambo uwe hujayaweka wazi like imekuwa vipi mpaka hali hiyo imeanza kuhappen?
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Hapo kazi kuu ni mkunyenge na WEWE,WEWE na mkunyenge mengine ni ziada
 
Hapo pa mwanamke awe na lugha tamu hata akikasirika wengi wana feli. Kuna mwanamke anakua na loudest voice in the room akiwa amekasirika, hakua kitu utamwambia.

Binafsi hapa ndo naweka Mkasi/Tick kwa mwanamke wa kuishi nae. Haiwezekani hata kama nimekukosea huwezi nitukana, Huwezi Nidharau wala kuleta jeuri you are my woman and i am your man.
ukweli hiki kitu baba watoto wangu ndio ananipendea kijishusha ila sio kila ugomv najishusha mwengine tunaenda sawa nikishajua nimemkera baadae huko ndio najishusha ila ntamwambiabalichokifanya sjapenda maisha yanaendelea
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Kuna akili na akili kwa hili,tafuta mfanyakazi wa ndani mzuri kiasi au binamu yako mgawane hiyo dozi,utachakaa Sana usipokuwa makini
 
Inaonekana papuchi yako ni nzuri kwa matumizi kwa hiyo akikuona tu tayari Abdalah kichwa wazi amesimama!!!!
 
Back
Top Bottom