Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Akusikilize kwa elimu ipi uliyo nayo?
 
Hakupendi huyo [emoji23] au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.

Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute [emoji3][emoji1787]
Wabovu wa sex ndo zao stori nyiiiiiingi ub..oo udinde , mwamba muda wa kuwasema majirani kaukosa

Anataka kuzungumza nini kila kitu amekili anapata
 
Wabovu wa sex ndo zao stori nyiiiiiingi ub..oo udinde , mwamba muda wa kuwasema majirani kaukosa

Anataka kuzungumza nini kila kitu amekili anapata
Hajitambui labda ana tatizo la afya ya akili, wengine ndio tunapenda kila wakati kupelekeshwa na mshedede
 
Hongera umepata MUME hasiye chepuka, akianza kuchepuka hatokugusa Hadi umkubushe wewe
 
Unajua ukishataja Mume ina maana among all ulimuona nd9 anakufaa, hukufanya home work yako vizuri, sina kweli cha kushauri, ukiona inatishia usalama wako usingoje kufa, unaweza mudu maisha bila yeye.
 
Uliolewa ili upige story? We kiazi kweli kweli.
Ukiolewa , kubali kulala bila nguo. Anytime toa huduma
 
😀😀😀 huyu Marwa ndiyo mwanaume.... Hajawachomea ndani?
 
Unataka muongeee nini kwa mfano??
Kwan
Mipango ya kimaisha ndani haiendi???

Kuna wanaume...hawanaga utoto!!! Kukaa ..mkacheka ..matani..na urafiki...kwao ..haiwez tokea!!!!

KIPI KIKUBWA KWAKO??

MKAE MUANGALIANE...MCHEKE ...MCHEZEEE
WEEE
AFU JOGOO ASIPANDE MTUNGI...

AMA JONGOO APELEKE MASHAMBULIZI....+++NO STORIES???
 
Mshukuru Mungu kwa bahati hiyo.
 
Hamia kwangu tule mema ya nchi,utapata unachokitaka,kwanini uteseke wakati Mimi nipo
 
Kwa kilio cha moto anaopelekewa ikatokea bado anachepuka basi malalamiko yake hayatakuwa ya kweli.
 
Hilo tatizo wa kulimaliza ni wewe mwenyewe. Unapaswa umjenge kisaikolojia. Inawezekana kuna namna hujali hisia zake unafanya akukamie. Mjengee mzingira ya stori na kuwa karibu naye kwa mazingira rafiki. Ili, stori na kukaa pamoja viwe mbadala wa sex.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…