Akusikilize kwa elimu ipi uliyo nayo?Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Wabovu wa sex ndo zao stori nyiiiiiingi ub..oo udinde , mwamba muda wa kuwasema majirani kaukosaHakupendi huyo [emoji23] au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute [emoji3][emoji1787]
Hajitambui labda ana tatizo la afya ya akili, wengine ndio tunapenda kila wakati kupelekeshwa na mshededeWabovu wa sex ndo zao stori nyiiiiiingi ub..oo udinde , mwamba muda wa kuwasema majirani kaukosa
Anataka kuzungumza nini kila kitu amekili anapata
Kwa style hiyo Mwamba atakuwa anakojoa peke yake! raha ya sex wote mind set zenu ziwe sambamba! yeye mnara unasoma 5G, halafu kule South kukavu! hapo anajidanganya.Miaka mitatu
Hongera umepata MUME hasiye chepuka, akianza kuchepuka hatokugusa Hadi umkubushe weweHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Uliolewa ili upige story? We kiazi kweli kweli.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Hajui utamu wa mb** sijui, yaan namshangaa ningekuwa mimu hadi kazini angekuwa anachelewaUliolewa ili upige story? We kiazi kweli kweli.
Ukiolewa , kubali kulala bila nguo. Anytime toa huduma
😀😀😀 huyu Marwa ndiyo mwanaume.... Hajawachomea ndani?Mkizidisha urafiki Mwisho utampanda kichwani inaonekana mumeo ni mtu wa misimamo ashakutambua kwamba akikuletea mazoea hata sex utaanza kumpangia ratiba hamchekewi, kuishi na ninyi inabidi uwe na tahadhari bila hivyo lolote laweza kutokea
Jana kuna Mzee kachoma nyumba yake kamletea mkewe mazoea mazoea wamezaa mtoto wa Mwisho eti Mwanamke hataki kumpa anamwambia mtoto sio wa kwake alafu ni mke wake wa Ndoa, Mzee Marwa kachoma nyumba Moto hadi imekua majivu kwa hasira
Unataka muongeee nini kwa mfano??Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Big pointsKabisa.
Mshukuru Mungu kwa bahati hiyo.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Hamia kwangu tule mema ya nchi,utapata unachokitaka,kwanini uteseke wakati Mimi nipoHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Kwa kilio cha moto anaopelekewa ikatokea bado anachepuka basi malalamiko yake hayatakuwa ya kweli.Nilichoelewa mimi mume wako amebeba majukumu mawili lakini wewe unataka matatu.
Yeye ana
1. Kutunza familia
2. Tendo la haki
Wewe unakosa
3. Ukaribu, kubembelezwa, kudeka, na mengineyo yoote yaendanayo na haya.
Hatari yake ni kwamba akitokea mtu yeyote akakupa attention mwamba amekwisha.
Ndivyo mioyo ya wanawake inafanya kazi.