Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Inaonekana mtoa mada ni pisi kali
Kama ulishawahi kumiliki pisi ya kwenda
Basi lazima utake kuuwasha moto kila mda
Nadhani hicho ndicho kinamtokea huyo jamaa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app



Kwani wanaume wengi wanajali hilo?

Ingekuwa hivyo wasingekuwa wanawala vichaa ambao hata kuoga hawaogi wala kuchamba sababu ya kuumwa akili.

Vichaa wanawake wanaliwa na kutiwa mimba na wanaume timamu kabisa.

Sasa hapo utasema pisikali ina apply?
 
Hapo lipo Jambo. Wewe umepoteza hisia na mumeo ama yupo mwanaume unaemfeel zaidi ya mumeo. Ksbb sidhani kama akikuomba mkasex,mkimaliza anarudia tena haraka. Mkimaliza si ndio mnaendelea na story. Ksbb umemuelewa basi akihitaji usichukue,wewe mpe kwa Uhuru tu. Hiyo ili uwe na uterezi, vinginevyo ukiwa umechukia unapoingia kwenye sex huwezi kupata uterezi utaumizwa.
Binadamu wametofautiana. Yupo jamaa yangu mmoja mke wake anataka kila wakati. Yaani anampigia simu hata akiwa kazini anaomba arudi amgonge hata kimoja. Na akifika tu akimgusa tayari yuko wet. Na wakikaa anataka amgonge mara 2 hivi.
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Bado mpya wewe acha atafune hadi hamu imuishe utaona tu yy mwenyewe ataanza kukupigisha story..
 
Safi sana hiyo ni neema kuna wengi wanatamani hivyo sema kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo magonjwa wanashindwa kuenjoy
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
 
Inaonekana mtoa mada ni pisi kali
Kama ulishawahi kumiliki pisi ya kwenda
Basi lazima utake kuuwasha moto kila mda
Nadhani hicho ndicho kinamtokea huyo jamaa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Huenda ikawa kweli ama laah.

Hii hali ipo, ila nazani umri unachangia.

Mtoa mada anaparamiana yeye na mumewe wanaruka kanuni.

Ushauri.
1. Sali na mumeo kwa ajili ya tendo.
2. Andaa mazingira kabla ya tendo
3. Miili iwe safi kwa tukio

NB: Mpe mumeo, au mruhusu akapate soulmate wake wewe sio.
 
Hapo lipo Jambo. Wewe umepoteza hisia na mumeo ama yupo mwanaume unaemfeel zaidi ya mumeo. Ksbb sidhani kama akikuomba mkasex,mkimaliza anarudia tena haraka. Mkimaliza si ndio mnaendelea na story. Ksbb umemuelewa basi akihitaji usichukue,wewe mpe kwa Uhuru tu. Hiyo ili uwe na uterezi, vinginevyo ukiwa umechukia unapoingia kwenye sex huwezi kupata uterezi utaumizwa.
Binadamu wametofautiana. Yupo jamaa yangu mmoja mke wake anataka kila wakati. Yaani anampigia simu hata akiwa kazini anaomba arudi amgonge hata kimoja. Na akifika tu akimgusa tayari yuko wet. Na wakikaa anataka amgonge mara 2 hivi.
Dunia kwakwer ya moto
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Huenda anamawazo sana 😂😂
 
mke mwema ana sifa tatu my dia
1. awe fundi wa mapishi hii siku hizi wengi tunajitahidi kutoa boko marachache

2. awe mtaalam chumbani, mwanamke ujue kucheza na hisia za mumeo, ujue mpaka akakuoa means una kitu na hajakipuuza sasa ujue huyo sio kaka yako ni MUMEO, ukute unashinda na kijora siku nzima, chup hubadili, pengine unamuekea limits akifanya hiki hapana af ukute ndio mambo anapenda ukiwa na mumeo uwe malaya kwake jiachie baby gal, yan mfanye ajisikie nyumban ndio sehem nzuri na ya aman hata akiwa kazini akumbuke kuwahi kurudi

3. mwanamke lazima awe n lugha tamu hata akiwa na hasira, yan amekukera atabaki kua mumeo mhudumie mfanye yyee ndio number one kwako ukikasirika zuia hasira ongea naye

n.b mwanaume n kiumbe dhaifu sana ukimjulia.
Hapo pa mwanamke awe na lugha tamu hata akikasirika wengi wana feli. Kuna mwanamke anakua na loudest voice in the room akiwa amekasirika, hakua kitu utamwambia.

Binafsi hapa ndo naweka Mkasi/Tick kwa mwanamke wa kuishi nae. Haiwezekani hata kama nimekukosea huwezi nitukana, Huwezi Nidharau wala kuleta jeuri you are my woman and i am your man.
 
Back
Top Bottom