Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Evelyn hayo Maisha mpk limi kama utakua ni mtu wakupiga chini tu kila Leo Maisha ya sasa yamekua ya hovyo kwer mbn zamani haikua hivi kwa baba zetu Babu zetu kwanini sisi wa miaka ya 90Nawe wako akizinga piga chini
Inaonekana mtoa mada ni pisi kali
Kama ulishawahi kumiliki pisi ya kwenda
Basi lazima utake kuuwasha moto kila mda
Nadhani hicho ndicho kinamtokea huyo jamaa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Babu zetu walikua hawapigi chini, sisi wajukuu kazi ni moja tu akizingua piga chiniEvelyn hayo Maisha mpk limi kama utakua ni mtu wakupiga chini tu kila Leo Maisha ya sasa yamekua ya hovyo kwer mbn zamani haikua hivi kwa baba zetu Babu zetu kwanini sisi wa miaka ya 90
Umenishinda tabia aseeeeeBabu zetu walikua hawapigi chini, sisi wajukuu kazi ni moja tu akizingua piga chini
nakushauri usije ukamsikiliza utajuta niulize mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una kitu usikilizwe.
Kwanini mkuu? Naomba unipe jibu.nakushauri usije ukamsikiliza utajuta niulize mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado mpya wewe acha atafune hadi hamu imuishe utaona tu yy mwenyewe ataanza kukupigisha story..Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Ni wapuuzi sana..hawajui tu msaada wao kwenye hii jamiiAlafu kuna mambwiga wanawazuia machangudoa., Namna hii kweli?
Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Huenda ikawa kweli ama laah.Inaonekana mtoa mada ni pisi kali
Kama ulishawahi kumiliki pisi ya kwenda
Basi lazima utake kuuwasha moto kila mda
Nadhani hicho ndicho kinamtokea huyo jamaa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Dunia kwakwer ya motoHapo lipo Jambo. Wewe umepoteza hisia na mumeo ama yupo mwanaume unaemfeel zaidi ya mumeo. Ksbb sidhani kama akikuomba mkasex,mkimaliza anarudia tena haraka. Mkimaliza si ndio mnaendelea na story. Ksbb umemuelewa basi akihitaji usichukue,wewe mpe kwa Uhuru tu. Hiyo ili uwe na uterezi, vinginevyo ukiwa umechukia unapoingia kwenye sex huwezi kupata uterezi utaumizwa.
Binadamu wametofautiana. Yupo jamaa yangu mmoja mke wake anataka kila wakati. Yaani anampigia simu hata akiwa kazini anaomba arudi amgonge hata kimoja. Na akifika tu akimgusa tayari yuko wet. Na wakikaa anataka amgonge mara 2 hivi.
Huenda anamawazo sana 😂😂Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Hapo pa mwanamke awe na lugha tamu hata akikasirika wengi wana feli. Kuna mwanamke anakua na loudest voice in the room akiwa amekasirika, hakua kitu utamwambia.mke mwema ana sifa tatu my dia
1. awe fundi wa mapishi hii siku hizi wengi tunajitahidi kutoa boko marachache
2. awe mtaalam chumbani, mwanamke ujue kucheza na hisia za mumeo, ujue mpaka akakuoa means una kitu na hajakipuuza sasa ujue huyo sio kaka yako ni MUMEO, ukute unashinda na kijora siku nzima, chup hubadili, pengine unamuekea limits akifanya hiki hapana af ukute ndio mambo anapenda ukiwa na mumeo uwe malaya kwake jiachie baby gal, yan mfanye ajisikie nyumban ndio sehem nzuri na ya aman hata akiwa kazini akumbuke kuwahi kurudi
3. mwanamke lazima awe n lugha tamu hata akiwa na hasira, yan amekukera atabaki kua mumeo mhudumie mfanye yyee ndio number one kwako ukikasirika zuia hasira ongea naye
n.b mwanaume n kiumbe dhaifu sana ukimjulia.