Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Kitu kingine kinachofanya haya yawakute nyie wadada... ni kujitia walokole wa maisha.

Hamtaki boyfriend mpaka muolewe,hamtaki mchumba wala nini,

Sikieni nyie mapenzi ya direct to ndoa Miyeyusho.. anza kuwa na mpenzi wako mkae hata mamiaka kwenye uhusiano wenu mtengeneze bond kisha ndio muoane.

Sema wadada mlivyo washamba mnataka mnatongozwa leo,kesho mtu anatuma ndugu walete posa kwenu,ndani ya mwezi taratbu za ndoa zimeisha..NDOA hii hapa.

hivi kwenye ndoa mtaongea nini? acha utombeke tu mtoto aje atleast tupate kitu cha kutu bondisha,hamna any attachment kwenye maisha yenu.
 
Ongea wakati wa mapumziko ya bao hapohapo kitandani au unataka hadi mtandike jamvi mpige umbea siku nzima.
Hapo ndo nashindwa kumuelewaaa.. Yani kuongea ba mkeo huwa inakuja very automatic labda kama jamaa hashindi nyumbani anarudi saa 8 za usiku.. maana unaweza kuwa unaangalia video mnaongea.. ukishapiga chako wanawake wengi ndo huanza kuleta story paleee hapo utaombwaa helaa kama sio mahitaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] labda hizo story jamaa anazikwepa sanaa
 
Nyi wanawake sijui hata mufanyweje, mkipewa hela na huduma mnataka muda, mkipewa muda mnataka hela, na vyote viwili kwa pamoja haiwezekani. Nakushauri tu kama anakuhudumia, hakudharau, anakuonesha heshima basi ridhika. Hayo maamuz magumu utakuja lia baadae
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Jukumu la mume ni kumtunza mke na familia jambo ambalo umesema anafanya.

Sex ni moja ya jambo lililomfanya akuoe. Kama unaona anakusumbua mpe ruhusa awe na bi mdogo ili uwe unapumzika. Sio wanaume wote tuna uwezo wa kuwa na urafiki wa kucheza kuchikuchi hotae na wake zetu nyumbani.
 
Kitu kingine kinachofanya haya yawakute nyie wadada... ni kujitia walokole wa maisha.

Hamtaki boyfriend mpaka muolewe,hamtaki mchumba wala nini,

Sikieni nyie mapenzi ya direct to ndoa Miyeyusho.. anza kuwa na mpenzi wako mkae hata mamiaka kwenye uhusiano wenu mtengeneze bond kisha ndio muoane.

Sema wadada mlivyo washamba mnataka mnatongozwa leo,kesho mtu anatuma ndugu walete posa kwenu,ndani ya mwezi taratbu za ndoa zimeisha..NDOA hii hapa.

hivi kwenye ndoa mtaongea nini? acha utombeke tu mtoto aje atleast tupate kitu cha kutu bondisha,hamna any attachment kwenye maisha yenu.
Watanzania wengi wanaishi sogea tuishi, ndoa zimekuwa adimu sikuhizi.
 
Back
Top Bottom