Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uchi ni mtamu kiongozi?Wala haujakosea sababu kumpa mumewe ni haki yake kwanini umbanie unataka akale wapi vitu vitamu?
Teh teh teh teh. Si kasema anataka tu wawe marafiki!Sijakuelewa hutaki kugongwa na mumeo?
Walikuwa marafiki. Akadanganyika,akakubari kuacha urafiki. Leo hii hataki tena. Na aliamua mwenyewe. Anataka warudi sasa kwenye urafiki. Ndani ya jengo moja? Rafiki mwingine akija,litakua balaa. Akilala anakojua mwenyewe,maswali yataanza. Wapewe niniiiiUliolewa ili iweje km hautaki kusex na mumeo?
Duuuh Sasa si kaolewa ili apelekewe Moto au kuna kingine kilichomfanya aolewe angepata jamaa hapeleki Moto pia angefungua Uzi kanioa lakini hanipi haki yangu ya unyumba nimfanyeje?Kaongee kwenu ukimaliza utalewa why umeolewa.
Urafiki upi na umeshaolewa?Teh teh teh teh. Si kasema anataka tu wawe marafiki!
We ulisikia wapi?Walikuwa marafiki. Akadanganyika,akakubari kuacha urafiki. Leo hii hataki tena. Na aliamua mwenyewe
Akiona hasomeki,mda huo anautumia kukimbiaSasa wakati anatafuta cha pili pale si kuna muda wa mapunziko tumia ule kupigizana nae soga, muda mchache mambo mengi
Kukimbia nini? Unakimbia nini ili iweje?Akiona hasomeki,mda huo anautumia kukimbia
Hakika walichukua maamzi bila kufikilia kwamba uwepo wao una mchango mkubwa. Hasa mijini.Alafu kuna mambwiga wanawazuia machangudoa., Namna hii kweli?
Yes sure,Hakika walichukua maamzi bila kufikilia uwepo wao una mchango mkubwa. Hasa mijini
Watu wanapitisha kichwa cha mtoto na bado inabana sembuse hiloHapo na kibamia changu nikija naogelea tuu.
KabisaaDuh, kwa ulikuwa unalia Hadi machozi yanakauka unabaki kumuachia Mungu tu!? Hahaaa
Wenye vibamia hawajiamini.Watu wanapitisha kichwa cha mtoto na bado inabana sembuse hilo
Sijui wapojeWenye vibamia hawajiamini.
Embu wachane ukweli kwanza, unaweza wasaidia.Sijui wapoje
Yaaani,mtu mzima,umeamua kuishi maisha yako,tena ukalipie kujazwa ujinga?Huenda ni ndoa mpya na mume bila shaka ni mtu ambaye yupo busy sana.Mume anaonekana ni selfish sana mtu asiyejali kuhusu hisia za mwingine kama yupo kwenye mood ama laa.kwenye ndoa Kuna vitu vingi Ambavyo ni tofauti na kwenye tamthilia zinazoelezea mambo ya ndoa.ukisikia wanatangaza zile semina za wanandoa au clip zinaelezea hizo habari mshauri alipie muende.jaribu kuhudhuria kwenye social event mbali mbali kama wedding,outing kwenye Maeneo ambayo atakutoa out mara moja moja anaweza kubadilika taratibu.usipomweleza kuwa hufurahishwi na jambo fulani no way anaweza akafahamu,Kwa hiyo ni vyema umwambie Nina mazungumzo na wewe,hata sex inatakiwa iwe na utaratibu na ratiba maalumu.