Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sasa ww ndo unaona raha ama?.Mpaka cheche zitoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ww ndo unaona raha ama?.Mpaka cheche zitoke
Yaan mpaka zitoke ndio raha zikiwa zinatokaSasa ww ndo unaona raha ama?.
Njema Pimbi...
U Hali Wewe Huko Ulipo?
Ila Umenitenga Sana Pimbi Au Ndio Tayari Umetekwa Ukatekeka.
Wenzio wamekaa wanatafuta Mwanaume wa kuwato mba hivyo wewe unakuja kulia eti unato mbwa sana, mwambie aongezee kimoja
Halafu mume akichepuka analalamika...Sijakuelewa hutaki kugongwa na mumeo?
Mie niko poa sana pimbi
[emoji23][emoji23]nna penzi jipya,penzi limekolea nazi bhana
Maumbea umbea ni huku bongo tu japo sio wote, wenzetu waarabu na wazungu hawanaga hayo ya umbea umbeaHakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Mbona unamchomea mwenzako mahindi makavu uo sio ubinadamu Depalpengine other factors ndio zilipelekea kuundwa kwa hiyo ndoa…
Eh msipo pewa mna lalamika, mkipewa bado mna lalamika.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Una spiritual husbandHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Swala lako kulitatua ni la kiroho zaidiHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Hivi kwanini hutaki kufsnya sex mumeo ukimnyima tu ninakuhakikishia anatafuta mchepuko na nyie ndiyo vyanzo vya kuleta mipasuko kwenye ndoa yenu na kusababisha watoto wa nje na mpaka kupelekea watoto wa mtaani waliokosa malezi ya wazazi baada ya mpasuko ndani ya ndoa, hamjui tu ila mnaletaga shida kubwa snaa kwenye jamii, mke asietoa unyumba ni wa kufukuzaHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Hapo shida mume sio mke!Una spiritual husband
Ngoja ampate anaepiga nae umbea halafu hawezi npelekea Moto vzr atarud tena hapaHakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
wenzio wantafuta wanaume wa nama hiyo wakupelekea moto mbususus kila muda wewe walalamikaHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.