Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Akiwa mzembe kitandani unachepuka akiwa yupo fit kama ivo bado unaona kero
Kweli wanawake hamjui mnapenda nini
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
LOVE LANGUAGE YAKO MUMEO HAJAIJUA BADO.

Kuna kitu ambacho ukifanyiwa basi wewe ndio unahisi unapendwa,sasa hiko kitu mumeo hajakijua ama hakifanyi.
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Mtafutiae house keeper mashallah deal litatiki
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Naona ulichukua maamuzi magumu ndo maana ukatafuta JF
 
Namuomba mie huyo mumeo, atanifaa sana wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka awe rafiki ako? Mwsho awe shost ako, Lol
Yaan, inapaswa Stori kidogo show show

Bhaasi, haya mambo yakukaa mnawasema majirani mara story za kina mwijaku
 
Haopendezi kunyimana hata Mungu hataki kuona mwanandoa kumnyima mwenza wake, mpeane si mmepewa bure unabanabana nini
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
unampunja tatizo we mpe nying akichoka mwambie mie bado mpe hat vi 5 kesho ukimuona tena mpe mwenyewe yan ad akinai ajaknai cz wanawak wengne sex za kuvutan vutana plus uviv iv ukai vle utak we mfungie kaz awez shindan na alipotoka ukimkaziq wik tu mwenyew atakua anabadil story
 
Back
Top Bottom