anataka mimba itolewe....Lakini yule binti wa Aliyenzisha ne mahusiano wa mwanzo...alisema yuko tyari waoelewe wote wawili...na ikitokea haiwezekani basi yuk tihari yule binti wa pili akishajifungua amfukuze...mtoto atamlea kwa roho nyeupe,kwa niaba yake
Mi nahisi alijitambulisha kwa kuona tyari binti ameshapata mimba na katoloka kwao kaja kwake ghafla kuishi....akawa hana jinsiSasa alijitambulisha ili iweje ikiwa anae anaempenda aisee sisi wanawake kwenye suala la kupata wachumba ambao tunapendana ni changamoto
Huyu ni wakulogwaa ,mbooo isikae kusimama kamweSio mdogo wako ni wewe mwenyewe
Sasa sikia ni lazima ulogwe huwezi kuchezea maisha ya mwenzako kijinga namna hiyo jiandae
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
π£Another Single mother is loading. .
Inauma sanaπ£
Kwa kifupi tuu ushauli wanguRejea hapo juu....naomba niende kwenye mada husika..
Nina mdogo wangu alimtambulisha binti nyumbani kwa wazazi wetu, wazazi wakambariki baada ya hapo binti aliendelea kuishi kwao
Kwa bahati mbaya au nzuri binti alipata Ujauzito ,ikabidi binti atoroke aje kwa mwanaume ili Nyumbani wasigundue kama kapata mimba
Basi mwanamke alihamia kwa mwanaume na taratibu za kwenda kuongea nyumbani kwa binti zikafuata. Nyumbani kwa binti wakasema wasubiri watapewa majibu, kwa ngoja wawasiliane na wazazi wao husika walioko mkoa mwingine, maana binti alilelewa na Bibi yake.
SASA TATIZO LILIPO...
Sasa Baada ya mwanaume ambaye ni mdogo wangu baada ya kukaa na binti kwa miezi miwili anataka amfukuze Hamtaki tena, na isitoshe binti mwenyewe ana mimba, anasema hana mapenzi nae, yupo anayempenda rohoni kwamba huyu ilikuwa bahati mbaya...
Kwahyo huyu mdogo wangu ameenda kwa wazazi akawaambia hamtaki anataka amfukuze binti hana mapenzi nae tena. Sasa kesho nimeitwa kwenye kikao Mimi, mdogo wangu ambaye ni mhusika pamoja na Wazazi kwa ajili ya kulijadili hili.
KWA KUKUMBUSHIA...
Huyu dogo anaye binti ambaye yuko naye katika mahusiano tangu nyuma sema wametengana kama miaka miwili hivi binti alienda kimasomo, ila bado wanawasiliana vizuri mpaka sasa hivi. HUYO NDO ANAYEMPENDA KUTOKA MOYONI MWAKE NDO ANATAKA AMUOE
NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA NDUGU ZANGU
Dogo ana miaka 26,,, binti 22
Mwambie dogo huyo anayempenda kutoka rohoni nae ana mwenzake pia anayempenda kutoka rohoni mwake. ..
Ataandaa harusi, siku ya kufunga ndoa haonekani. Atalia na kusaga meno..
Karma huwa haichelewi.
Sio mdogo wako ni wewe mwenyewe
Sasa sikia ni lazima ulogwe huwezi kuchezea maisha ya mwenzako kijinga namna hiyo jiandae
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huyo siyo dogo tena
Ni mbaba mtu mzima msivimbishe kichwa kumuita dogo, mwambieni apambane na jukumu lake..!
Nipe namba zake, kuna mtu kaniibia vyeti kmmmk nataka nimshughulikie kimya kimyaHuyu ni wakulogwaa ,mbooo isikae kusimama kamwe
Alafu awe mtu wa mikosi yaaan Hela zimpige chenga kama anayotaka kumpiga chenga binti wa watu.
Kuna mtalaaamu mmoja yuko kanda ya ziwaa, ni mbwaaaaa kwa haya mambo
Kwanza yeye mbaya wako unauona kwenye TV yake ya Asili.
Na jinsi huyo mbaya alivyokua akikufanyia ubaya.
Baada ya hapo..anakuuliza nimfanye nn??
Aaagh vyeti tu? Achana naye. Mimi nikajua kakuibia Toyota yako. ππππNipe namba zake, kuna mtu kaniibia vyeti kmmmk nataka nimshughulikie kimya kimya
Nipe namba zake, kuna mtu kaniibia vyeti kmmmk nataka nimshughulikie kimya kimya
Yani ghafla sioni degree, birth certificate wala form 4![emoji38][emoji38][emoji38] Vyeti tena mzee
Hahaha gari ningemsamehe ila degree nimeilipia zaidi ya million 10Aaagh vyeti tu? Achana naye. Mimi nikajua kakuibia Toyota yako. ππππ
Hiyo karatasi ya Degree imekufanyia nini? Gari limekusafirisha kwenda kwenye madili ya maana, umekula sana watoto wa watu kupitia hilo gari.. Imekupandishia hadhi kidogo...... Achana na karatasi wewe...ππππHahaha gari ningemsamehe ila degree nimeilipia zaidi ya million 10