Msaada: Mwanamke anataka kuachwa, ana mimba na ashatolewa mahari

Msaada: Mwanamke anataka kuachwa, ana mimba na ashatolewa mahari

Wa
Huyo mdogo wako sidhani kama yupo tayari kuoa.Ndoa inahitaji 'emotional stability' ambayo dogo bado hajapata,kwa ufupi hajui anataka nini.Hata huyu anaedai anampenda atamzingua.Najiuliza ilikuwaje wazazi wa msichana mwenye umri wa miaka 22 wamwachie binti yao akae na mwanamme kisa ahadi ya ndoa!ndoa sio ahadi.
Ilikuleta amani,mrudisheni bint mwenye mimba kwao,mkaombe msamaha,msitake mrudishiwe mahari na umshurutishe mdogo ako apambane na majukumu ya kulea kiumbe kijacho ila msilazimishe amuoe kama hataki,utaleta matatizo mengine.Na hizo story za kuwa huyo mwanamke anaempenda yupo tayri waolewe wote au alee mtoto wa mwenzake,achana nazo kwa sasa.Ni maongezi na porojo tu,uhalisia wake ni mgumu sana.
zazi wa
SuperHb Usishangae hapa Bongo, unayempenda naye ana mtu wake anayempenda.

Dogo lako ni lipuuzi tu.

Nauliza haya

Mpaka anamleta binti kwenu abarikiwe, alikua hajui ana mtu yuko masomoni?????

Ilikua ni gia ya mtoto wa watu kunkubalia???

Kwann hakutukia kondomu???

Alafu saizi, Mnataka kumfadhaisha binti wa watu mwenye ujauzito??????.

Pumbavu zake Dogo .

Nawewe Kaka mtu unacheka cheka????

Mimba ina umri gan??? Ili kama kutoa akatoe

Mnapenda kuwa na watoto lakini mnakimbia kuwajibika kwa kisingizio cha kijinga.
Mimba ina miezi 2
 
Rejea hapo juu....naomba niende kwenye mada husika..

Nina mdogo wangu alimtambulisha binti nyumbani kwa wazazi wetu, wazazi wakambariki baada ya hapo binti aliendelea kuishi kwao

Kwa bahati mbaya au nzuri binti alipata Ujauzito ,ikabidi binti atoroke aje kwa mwanaume ili Nyumbani wasigundue kama kapata mimba

Basi mwanamke alihamia kwa mwanaume na taratibu za kwenda kuongea nyumbani kwa binti zikafuata. Nyumbani kwa binti wakasema wasubiri watapewa majibu, kwa ngoja wawasiliane na wazazi wao husika walioko mkoa mwingine, maana binti alilelewa na Bibi yake.

SASA TATIZO LILIPO...
Sasa Baada ya mwanaume ambaye ni mdogo wangu baada ya kukaa na binti kwa miezi miwili anataka amfukuze Hamtaki tena, na isitoshe binti mwenyewe ana mimba, anasema hana mapenzi nae, yupo anayempenda rohoni kwamba huyu ilikuwa bahati mbaya...

Kwahyo huyu mdogo wangu ameenda kwa wazazi akawaambia hamtaki anataka amfukuze binti hana mapenzi nae tena. Sasa kesho nimeitwa kwenye kikao Mimi, mdogo wangu ambaye ni mhusika pamoja na Wazazi kwa ajili ya kulijadili hili.

KWA KUKUMBUSHIA...
Huyu dogo anaye binti ambaye yuko naye katika mahusiano tangu nyuma sema wametengana kama miaka miwili hivi binti alienda kimasomo, ila bado wanawasiliana vizuri mpaka sasa hivi. HUYO NDO ANAYEMPENDA KUTOKA MOYONI MWAKE NDO ANATAKA AMUOE

NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA NDUGU ZANGU
Another single mother in TOWN.

#YNWA
 
Familia ya binti bado haijapokea mahari,,ilisema tusubiri mpaka wawasiliane na wazazi wake,,,,maana alilelewa na Bibi yake,,,,MAHARI HAIJAPELEKWA
Huyo mdogo wako sidhani kama yupo tayari kuoa.Ndoa inahitaji 'emotional stability' ambayo dogo bado hajapata,kwa ufupi hajui anataka nini.Hata huyu anaedai anampenda atamzingua.Najiuliza ilikuwaje wazazi wa msichana mwenye umri wa miaka 22 wamwachie binti yao akae na mwanamme kisa ahadi ya ndoa!ndoa sio ahadi.
Ilikuleta amani,mrudisheni bint mwenye mimba kwao,mkaombe msamaha,msitake mrudishiwe mahari na umshurutishe mdogo ako apambane na majukumu ya kulea kiumbe kijacho ila msilazimishe amuoe kama hataki,utaleta matatizo mengine.Na hizo story za kuwa huyo mwanamke anaempenda yupo tayri waolewe wote au alee mtoto wa mwenzake,achana nazo kwa sasa.Ni maongezi na porojo tu,uhalisia wake ni mgumu sanafamilia y
 
Hiyo karatasi ya Degree imekufanyia nini? Gari limekusafirisha kwenda kwenye madili ya maana, umekula sana watoto wa watu kupitia hilo gari.. Imekupandishia hadhi kidogo...... Achana na karatasi wewe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo karatasi ya Degree imekufanyia nini? Gari limekusafirisha kwenda kwenye madili ya maana, umekula sana watoto wa watu kupitia hilo gari.. Imekupandishia hadhi kidogo...... Achana na karatasi wewe...😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 kweli inabidi niache ujinga niwe kama nyuki
 
anataka mimba itolewe....Lakini yule binti wa Aliyenzisha ne mahusiano wa mwanzo...alisema yuko tyari waoelewe wote wawili...na ikitokea haiwezekani basi yuk tihari yule binti wa pili akishajifungua amfukuze...mtoto atamlea kwa roho nyeupe,kwa niaba yake
Jamani huyu Alie tiari kulea mtoto wa mwenzie hapewe ulinzi
 
Hapo anaetaka kuacha ni mwanaume,huyo mdogoako. Na hapo ni baada ya kula mpususu wa mwenzie ameuchoka,anatamani mwingine. Huyo mwanamke sio kweli kwamba katamka hamtaki mdogoako,hapo mdogoako amesingizia ili apate njia ya kumtema huyo mwanamke. Angalizo mdogoako bado ujana unamsumbua. Hata huyo alie masomoni akija kumuoa atamuacha punde.
 
Amini tatizo liko kwa mdogoako. Bado ujana unamsumbua. Anataka ale hiki na kile. Ukiwauliza vizuri utagundua hili. Hivyo suruhisho,mwambie tu mdogoako wazuri hawaishi. Aendelee tu kuvumilia na huyo mwenye mtoto wake tumboni. Hakuna jinsi hapo maji yalishamwagika
 
Sielewi yani maana vingine vipo hapa home! Last time naenda interview ilikuwa TPB pale ndipo tulitakiwa kuvitumia. Sasa juzi pia nilikuwa na kazi navyo ndio nashangaa havipo
Mungu wangu sasa si wamekulostisha mwana?[emoji849][emoji849][emoji1745][emoji1745][emoji22]

Kubabbk nenda kigoma mtu atembee na k usoni

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom