Msaada: Mwanamke niliyezaa naye alienda kwao baada tu ya kujifungua, hataki nimuone mtoto

Msaada: Mwanamke niliyezaa naye alienda kwao baada tu ya kujifungua, hataki nimuone mtoto

Pole sana huenda anajua kuwa huyo Mtoto siyo wa kwako ndiyo maana anafanya hivyo kama umeenda kwao wanakuzungusha achana nao.
 
Wakuu Salaam,

Moja kwa moja kwenye mada. Mwaka juzi nilipata mtoto na mwanamke mmoja nilikuwa nikiishi naye wakati huo.

Kipindi chote cha ujauzito alikuwa akiishi kwangu mara baada ya kujifungua akaenda nyumbani kwao kupata msaada wa karibu. Alijifungua vizuri mtoto wa kike na baada ya miezi 2 alikuja na mtoto na kukaa siku kadhaa akarudi tena kwao.

To cut story short ni kwamba ilipita muda haji kwangu na kuomba tu matumizi ya mtoto kupitia simu baada ya muda kupita nikamwambia nataka nimuone mtoto mana nimemmiss muda sasa akawa analeta story tu mtoto hamleti.

Nikaamua kukata kutuma hela hadi mtoto aje/aletwe nimuone basi ikawa shida hakumleta mtoto tangu muda huo. Umepita muda sasa mwaka sijamuona mtoto nahitaji kumuona nimeenda kwao lakini nazungushwa kwamba hayupo kasafiri wakati marafiki zake wanasema yupo.

Sasa wakuu naomba tusaidiane nianzie wapi ili kushinikiza kumuona huyu mtoto niende serikali za mtaa au police kabisa? Na kama kuna njia nyingine ya kufanya kumuona tu mtoto mana najua sitaruhusiwa kumchukua kwani bado mdogo.

N:B huyu mwanamke sikumtolea mahari tuliishi pamoja tu tukapata mtoto.
mtoto mwarabu huyo
 
wote mlikuwa MAKAHABA............achana nae.....si ushavuta pisi ingine....."eti umezaa nae" ulibeba mimba wewe??? kwanini ulizaa nae....zaa peke yako......
 
wote mlikuwa MAKAHABA............achana nae.....si ushavuta pisi ingine....."eti umezaa nae" ulibeba mimba wewe??? kwanini ulizaa nae....zaa peke yako......
Tuliza wenge mkuu. Wewe mtoto mdogo unajua matokeo ya mwanamke kuzaa ni kati ya mwanamke na mwanaume?
 
Wakuu Salaam,

Moja kwa moja kwenye mada. Mwaka juzi nilipata mtoto na mwanamke mmoja nilikuwa nikiishi naye wakati huo.

Kipindi chote cha ujauzito alikuwa akiishi kwangu mara baada ya kujifungua akaenda nyumbani kwao kupata msaada wa karibu. Alijifungua vizuri mtoto wa kike na baada ya miezi 2 alikuja na mtoto na kukaa siku kadhaa akarudi tena kwao.

To cut story short ni kwamba ilipita muda haji kwangu na kuomba tu matumizi ya mtoto kupitia simu baada ya muda kupita nikamwambia nataka nimuone mtoto mana nimemmiss muda sasa akawa analeta story tu mtoto hamleti.

Nikaamua kukata kutuma hela hadi mtoto aje/aletwe nimuone basi ikawa shida hakumleta mtoto tangu muda huo. Umepita muda sasa mwaka sijamuona mtoto nahitaji kumuona nimeenda kwao lakini nazungushwa kwamba hayupo kasafiri wakati marafiki zake wanasema yupo.

Sasa wakuu naomba tusaidiane nianzie wapi ili kushinikiza kumuona huyu mtoto niende serikali za mtaa au police kabisa? Na kama kuna njia nyingine ya kufanya kumuona tu mtoto mana najua sitaruhusiwa kumchukua kwani bado mdogo.

N:B huyu mwanamke sikumtolea mahari tuliishi pamoja tu tukapata mtoto.
Acha kung’ang’ania watu wa wengine
 
Mkuu habari,,Hilo swala lako ni dogo Sana,,,

Kwanza inaonekana hiyo mimba si yako ni ya mwanaume mwingine ndio maana baada ya kujifungua hataki kuishi na wew ili kuzuia mtoto asibemendwe na sperm za mwanaume mwingine ambaye ndio wew.
Mtoto anabemendwa vipi na sperms za jamaa?

Jibu kama msomi [emoji848]
 
Wakuu Salaam,

Moja kwa moja kwenye mada. Mwaka juzi nilipata mtoto na mwanamke mmoja nilikuwa nikiishi naye wakati huo.

Kipindi chote cha ujauzito alikuwa akiishi kwangu mara baada ya kujifungua akaenda nyumbani kwao kupata msaada wa karibu. Alijifungua vizuri mtoto wa kike na baada ya miezi 2 alikuja na mtoto na kukaa siku kadhaa akarudi tena kwao.

To cut story short ni kwamba ilipita muda haji kwangu na kuomba tu matumizi ya mtoto kupitia simu baada ya muda kupita nikamwambia nataka nimuone mtoto mana nimemmiss muda sasa akawa analeta story tu mtoto hamleti.

Nikaamua kukata kutuma hela hadi mtoto aje/aletwe nimuone basi ikawa shida hakumleta mtoto tangu muda huo. Umepita muda sasa mwaka sijamuona mtoto nahitaji kumuona nimeenda kwao lakini nazungushwa kwamba hayupo kasafiri wakati marafiki zake wanasema yupo.

Sasa wakuu naomba tusaidiane nianzie wapi ili kushinikiza kumuona huyu mtoto niende serikali za mtaa au police kabisa? Na kama kuna njia nyingine ya kufanya kumuona tu mtoto mana najua sitaruhusiwa kumchukua kwani bado mdogo.

N:B huyu mwanamke sikumtolea mahari tuliishi pamoja tu tukapata mtoto.
Pole sana mrejesho!
 
Mkuu habari,,Hilo swala lako ni dogo Sana,,,

Kwanza inaonekana hiyo mimba si yako ni ya mwanaume mwingine ndio maana baada ya kujifungua hataki kuishi na wew ili kuzuia mtoto asibemendwe na sperm za mwanaume mwingine ambaye ndio wew.
Naam
 
Kuna uwezekano mkubwa mama mtoto wako hakua na uhakika juu ya mmilik wa ujauzito ndo maana mlikaa wote katika kipind cha ujauzito.Inaonekana baada ya kujifungua amegundua mtoto sio wako na ndo maana halalamiki kuhusu matunzo.
Naam
 
Kuna mawili,Hutoi hela ya matunzo ya mtoto na mama au Mtoto sio wako.

Chagua moja.
 
Back
Top Bottom