Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pole sana huenda anajua kuwa huyo Mtoto siyo wa kwako ndiyo maana anafanya hivyo kama umeenda kwao wanakuzungusha achana nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoto mwarabu huyoWakuu Salaam,
Moja kwa moja kwenye mada. Mwaka juzi nilipata mtoto na mwanamke mmoja nilikuwa nikiishi naye wakati huo.
Kipindi chote cha ujauzito alikuwa akiishi kwangu mara baada ya kujifungua akaenda nyumbani kwao kupata msaada wa karibu. Alijifungua vizuri mtoto wa kike na baada ya miezi 2 alikuja na mtoto na kukaa siku kadhaa akarudi tena kwao.
To cut story short ni kwamba ilipita muda haji kwangu na kuomba tu matumizi ya mtoto kupitia simu baada ya muda kupita nikamwambia nataka nimuone mtoto mana nimemmiss muda sasa akawa analeta story tu mtoto hamleti.
Nikaamua kukata kutuma hela hadi mtoto aje/aletwe nimuone basi ikawa shida hakumleta mtoto tangu muda huo. Umepita muda sasa mwaka sijamuona mtoto nahitaji kumuona nimeenda kwao lakini nazungushwa kwamba hayupo kasafiri wakati marafiki zake wanasema yupo.
Sasa wakuu naomba tusaidiane nianzie wapi ili kushinikiza kumuona huyu mtoto niende serikali za mtaa au police kabisa? Na kama kuna njia nyingine ya kufanya kumuona tu mtoto mana najua sitaruhusiwa kumchukua kwani bado mdogo.
N:B huyu mwanamke sikumtolea mahari tuliishi pamoja tu tukapata mtoto.
Tuliza wenge mkuu. Wewe mtoto mdogo unajua matokeo ya mwanamke kuzaa ni kati ya mwanamke na mwanaume?wote mlikuwa MAKAHABA............achana nae.....si ushavuta pisi ingine....."eti umezaa nae" ulibeba mimba wewe??? kwanini ulizaa nae....zaa peke yako......
umeshaambiwa jogoo hatunzi vifaranga....so be a man....real man....sio kuwa kahaba...Tuliza wenge mkuu. Wewe mtoto mdogo unajua matokeo ya mwanamke kuzaa ni kati ya mwanamke na mwanaume?
Acha kung’ang’ania watu wa wengineWakuu Salaam,
Moja kwa moja kwenye mada. Mwaka juzi nilipata mtoto na mwanamke mmoja nilikuwa nikiishi naye wakati huo.
Kipindi chote cha ujauzito alikuwa akiishi kwangu mara baada ya kujifungua akaenda nyumbani kwao kupata msaada wa karibu. Alijifungua vizuri mtoto wa kike na baada ya miezi 2 alikuja na mtoto na kukaa siku kadhaa akarudi tena kwao.
To cut story short ni kwamba ilipita muda haji kwangu na kuomba tu matumizi ya mtoto kupitia simu baada ya muda kupita nikamwambia nataka nimuone mtoto mana nimemmiss muda sasa akawa analeta story tu mtoto hamleti.
Nikaamua kukata kutuma hela hadi mtoto aje/aletwe nimuone basi ikawa shida hakumleta mtoto tangu muda huo. Umepita muda sasa mwaka sijamuona mtoto nahitaji kumuona nimeenda kwao lakini nazungushwa kwamba hayupo kasafiri wakati marafiki zake wanasema yupo.
Sasa wakuu naomba tusaidiane nianzie wapi ili kushinikiza kumuona huyu mtoto niende serikali za mtaa au police kabisa? Na kama kuna njia nyingine ya kufanya kumuona tu mtoto mana najua sitaruhusiwa kumchukua kwani bado mdogo.
N:B huyu mwanamke sikumtolea mahari tuliishi pamoja tu tukapata mtoto.
Mtoto anabemendwa vipi na sperms za jamaa?Mkuu habari,,Hilo swala lako ni dogo Sana,,,
Kwanza inaonekana hiyo mimba si yako ni ya mwanaume mwingine ndio maana baada ya kujifungua hataki kuishi na wew ili kuzuia mtoto asibemendwe na sperm za mwanaume mwingine ambaye ndio wew.
Pole sana mrejesho!Wakuu Salaam,
Moja kwa moja kwenye mada. Mwaka juzi nilipata mtoto na mwanamke mmoja nilikuwa nikiishi naye wakati huo.
Kipindi chote cha ujauzito alikuwa akiishi kwangu mara baada ya kujifungua akaenda nyumbani kwao kupata msaada wa karibu. Alijifungua vizuri mtoto wa kike na baada ya miezi 2 alikuja na mtoto na kukaa siku kadhaa akarudi tena kwao.
To cut story short ni kwamba ilipita muda haji kwangu na kuomba tu matumizi ya mtoto kupitia simu baada ya muda kupita nikamwambia nataka nimuone mtoto mana nimemmiss muda sasa akawa analeta story tu mtoto hamleti.
Nikaamua kukata kutuma hela hadi mtoto aje/aletwe nimuone basi ikawa shida hakumleta mtoto tangu muda huo. Umepita muda sasa mwaka sijamuona mtoto nahitaji kumuona nimeenda kwao lakini nazungushwa kwamba hayupo kasafiri wakati marafiki zake wanasema yupo.
Sasa wakuu naomba tusaidiane nianzie wapi ili kushinikiza kumuona huyu mtoto niende serikali za mtaa au police kabisa? Na kama kuna njia nyingine ya kufanya kumuona tu mtoto mana najua sitaruhusiwa kumchukua kwani bado mdogo.
N:B huyu mwanamke sikumtolea mahari tuliishi pamoja tu tukapata mtoto.
HahahHuyo mtoto si wako,pole
NaamMkuu habari,,Hilo swala lako ni dogo Sana,,,
Kwanza inaonekana hiyo mimba si yako ni ya mwanaume mwingine ndio maana baada ya kujifungua hataki kuishi na wew ili kuzuia mtoto asibemendwe na sperm za mwanaume mwingine ambaye ndio wew.
NaamHuyo mtoto wa "mchongo".
😂😂Mtoto kafanana na baba yake halisi ww baba wa kambo anaogopa utasanuka.
NaamAcha naye jogoo hatunzi vifaranga ....hawawezi kukusingizia eti umekataa majukumu...maana umeenda hadi kwao wanakuficha sepa
NakaziaMbegu zineisha huna tena? Huyo si wako oa zaa mwingine
NaamKuna uwezekano mkubwa mama mtoto wako hakua na uhakika juu ya mmilik wa ujauzito ndo maana mlikaa wote katika kipind cha ujauzito.Inaonekana baada ya kujifungua amegundua mtoto sio wako na ndo maana halalamiki kuhusu matunzo.
NaamHuyo mtoto sio wako acha kupoteza muda, kuna mtu anamuona huyo mtoto 24/7
Mtoto si wake huyuKuna mawili,Hutoi hela ya matunzo ya mtoto na mama au Mtoto sio wako.
Chagua moja.