Msaada: Mwanangu ana miezi 12 bado hajaanza kutambaa, yeye ni kukaa tu

Msaada: Mwanangu ana miezi 12 bado hajaanza kutambaa, yeye ni kukaa tu

Ukitaka kujibiwa kiuzoefu: wtt wanatofautiana katika makuzi, wakati mwengine unaweza kuwa na wtt 2,3 au zaidi lkn wakatofautiana kwenye muda wa kuanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea na kuongea...vilevile unaweza ukawa na wtt 2,3 au zaidi na wakafanana kwa kila kitu kwenye makuzi yao.

Wengine wanasema ziwa la mama linachangia kwenye makuzi ya mtt, wengine kuwa na speed ya kufanya hivyo vitebdo na wengine kuwa wapo slow.

Ushauri wangu kama mzazi mzoefu ambae nimejaaliwa kupata wtt waliowahi kila kitu katika makuzi yao Alhamdulillah....vyema mtt umpeleke kwa wataalamu wa afya km alivosema mmoja wa members hapo juu, mpeleke kwa paediatrician au mtaalam wa masuala ya viungo pamoja na kumtafutia wale mabibi wataalam wa masuala ya wtt, wanakuwa wanawachuachua kuamsha nerves. Miezi 12 kutokutambaa kachelewa na hivyo unasema miguu yake haijishiki kuna shida mahali, either mgongo au kichwa.

Pole sana, Mungu Atakufanyia wepesi...na wewe wahi kumshughulikia mtt
 
Habari ya muda huu.

Mwanangu wa miezi 12 hajanza kutambaa, naombeni ushauri wenu ila alichelewa kulia wakati wakuzaliwa lakini pia degedege huwa inamsumbua.

Naombeni ushauri wenu namna ya kumsaidia inaniuma saana ndugu zangu.😭😭😭

Pole sana mkuu ,kama hana shida zozote kwenye brain basi atatambaa na kutembea inshallah.

Degedege mbaya sana kwa watoto ,jitahidi kujua joto la mtoto na kumkanda na kitambaa kabla ajapata degedege.
 
Habari ya muda huu.

Mwanangu wa miezi 12 hajanza kutambaa, naombeni ushauri wenu ila alichelewa kulia wakati wakuzaliwa lakini pia degedege huwa inamsumbua.

Naombeni ushauri wenu namna ya kumsaidia inaniuma saana ndugu zangu.😭😭😭
Relax mfanyishe mazoezi kidogo kidogo ku encourage vitu vya kuvutia. Mshike mkono pull like vile wanatembelea matako.
Kila siku zoezi moja au mbili kwa siku. Ndani ya mwezi mmoja naomba uje hapa kunishukuru.

Siku hizi watoto wanazaliwa na uvivu. Sijui ni haya maziwa tunawanunulia?
 
Ukitaka kujibiwa kiuzoefu: wtt wanatofautiana katika makuzi, wakati mwengine unaweza kuwa na wtt 2,3 au zaidi lkn wakatofautiana kwenye muda wa kuanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea na kuongea...vilevile unaweza ukawa na wtt 2,3 au zaidi na wakafanana kwa kila kitu kwenye makuzi yao.
Well
 
Miaka ya zamani niliwahi kusikia mtoto kuchelewa kutambaa/kutembea inatokana na either Mzazi mmoja anacheza michezo ya nje hivyo kumuathiri mtoto.

Walienda mbali na kusema ukiona mtoto kiuno hakikazi yaani kina shake shake ujue kesi ni hiyo hiyo kama ya juu.

Ukiwasikia Wanasayansi wao wanasema itakuwa mtoto hapati lishe ya kutosha au ana obesity.

Kama una Wazee nyumbani kwenu, jaribu kuwaulizia.

Pole sana
Hahaha waswahili hao😅😅
 
Bado mapema ila kwa tafadhari, uwe unamlazimisha kusimama na kumshika mikononyake miwili unakuwa unamlazimisha kujongea au unabeba miguu yake juu ya yakwako mnatembea wote wewe chini yeye juu, ata kama hajaanza kutambaa lazima ataonesha ushirikiano.

Mwisho mruhusu kucheza na wenzake mara kwa mara asizubae.
Keep her active✌️
 
Anapata lishe mkuu, ila mama yake hanamaziwa yakutosha pia.
Je, anasimama kwa kutumia viti n.k? Kama ndiyo, basi usiwe na hofu yoyote wala usimharakishe. Watoto wengine ni waoga sana kutembea au huweza kuchelewa bila sababu yoyote. Nilikuwa na wangu alikuwa mwoga kweli kweli hata kusimama. Ila baadae akaja kutushangaza siku moja anatembea mwenyewe.
 
Miguu yake hajaweza kuikaza kwa kumnyanyua, na tulimpeleka kwa daktari akasema mbona hanashida ya miguu ila hawezi kuikazisha chini hata ukimnyanyua
1. Uwe unamfanyisha mazoezi na stretching ya viungo.
2. Asubuhi kabla ya jua kuwaka mtoe nje mtembeze peku kwenye bare soil sio tiles wala pavings blocks...natural healing ya soil. Sisi ni udongo
 
Ok kama haijakaza vizuri ,unamlaza chali harafu unashika miguu yake na kuwa unainyoosha na kuikunja (kama vile mtu anavyotembea (kushoto unakunja kulia unanyoosha, kulia unakunja kushoto unanyoosha) ....unaanza taratibu akizoea unaongeza speed, iwe kama mchezo siyo karate.😄😄😄
Nakazia kwenye hii, kila sku umpake olive oil. Mafuta ya nyonyo, epuka kumshika ukitoka kwenye mihangaiko. OGA kwanza. Mpeni lishe safi, maziwa ya ng'ombe ninmuhim, azingatie ratiba ya menu za mtoto kila siku. Amuwekee michezo mbalimbali lkn pia jiunge na hii app jisajili. Uwe unapata weekly update na uzizingatie. Ni kama kipimio Cha watoto wore wenye age hiyo. BabyCenter | The Most Accurate & Trustworthy Pregnancy & Parenting Information


Mwisho kabisa namuombea moto wetu kwa Allah ampe makuzi mema amiin
 
Ukitaka kujibiwa kiuzoefu: wtt wanatofautiana katika makuzi, wakati mwengine unaweza kuwa na wtt 2,3 au zaidi lkn wakatofautiana kwenye muda wa kuanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea na kuongea...vilevile unaweza ukawa na wtt 2,3 au zaidi na wakafanana kwa kila kitu kwenye makuzi yao.

Wengine wanasema ziwa la mama linachangia kwenye makuzi ya mtt, wengine kuwa na speed ya kufanya hivyo vitebdo na wengine kuwa wapo slow.

Ushauri wangu kama mzazi mzoefu ambae nimejaaliwa kupata wtt waliowahi kila kitu katika makuzi yao Alhamdulillah....vyema mtt umpeleke kwa wataalamu wa afya km alivosema mmoja wa members hapo juu, mpeleke kwa paediatrician au mtaalam wa masuala ya viungo pamoja na kumtafutia wale mabibi wataalam wa masuala ya wtt, wanakuwa wanawachuachua kuamsha nerves. Miezi 12 kutokutambaa kachelewa na hivyo unasema miguu yake haijishiki kuna shida mahali, either mgongo au kichwa.

Pole sana, Mungu Atakufanyia wepesi...na wewe wahi kumshughulikia mtt
Shukrani mkuu😭
 
Relax mfanyishe mazoezi kidogo kidogo ku encourage vitu vya kuvutia. Mshike mkono pull like vile wanatembelea matako.
Kila siku zoezi moja au mbili kwa siku. Ndani ya mwezi mmoja naomba uje hapa kunishukuru.

Siku hizi watoto wanazaliwa na uvivu. Sijui ni haya maziwa tunawanunulia?
Sawa mkuu
 
Je, anasimama kwa kutumia viti n.k? Kama ndiyo, basi usiwe na hofu yoyote wala usimharakishe. Watoto wengine ni waoga sana kutembea au huweza kuchelewa bila sababu yoyote. Nilikuwa na wangu alikuwa mwoga kweli kweli hata kusimama. Ila baadae akaja kutushangaza siku moja anatembea mwenyewe.
Hajaweza bado kusimamia hivo vitu mkuu
 
Back
Top Bottom