Msaada: Mwanangu ana miezi 12 bado hajaanza kutambaa, yeye ni kukaa tu

Msaada: Mwanangu ana miezi 12 bado hajaanza kutambaa, yeye ni kukaa tu

Nakazia kwenye hii, kila sku umpake olive oil. Mafuta ya nyonyo, epuka kumshika ukitoka kwenye mihangaiko. OGA kwanza. Mpeni lishe safi, maziwa ya ng'ombe ninmuhim, azingatie ratiba ya menu za mtoto kila siku. Amuwekee michezo mbalimbali lkn pia jiunge na hii app jisajili. Uwe unapata weekly update na uzizingatie. Ni kama kipimio Cha watoto wore wenye age hiyo. BabyCenter | The Most Accurate & Trustworthy Pregnancy & Parenting Information


Mwisho kabisa namuombea moto wetu kwa Allah ampe makuzi mema amiin
Amiiin amiiin, Allah akulipe kheir
 
Wangu ana miaka miwili now hatembei ni anasimamia vitu tu.. alipata degedege pia na alipata shida wakat kazaliwa… nimewaza sana, mazoez anafanya lakini bado… imebaki kumuombea tu
 
Habari ya muda huu.

Mwanangu wa miezi 12 hajanza kutambaa, naombeni ushauri wenu ila alichelewa kulia wakati wakuzaliwa lakini pia degedege huwa inamsumbua.

Naombeni ushauri wenu namna ya kumsaidia inaniuma saana ndugu zangu.😭😭😭
Hakika atatembea kwa Jina la Yesu, na si kutmabaa tu; 90+
 
Back
Top Bottom