raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Bado mapemaSawa kaka, ila miezi 12 hajasimamia
Tatizo hilo kama hata kushtuka hashtuki.Haoneshi mpaka umshikishe mkononi
Habari ya muda huu.
Mwanangu wa miezi 12 hajanza kutambaa, naombeni ushauri wenu ila alichelewa kulia wakati wakuzaliwa lakini pia degedege huwa inamsumbua.
Naombeni ushauri wenu namna ya kumsaidia inaniuma saana ndugu zangu.😭😭😭
Relax mfanyishe mazoezi kidogo kidogo ku encourage vitu vya kuvutia. Mshike mkono pull like vile wanatembelea matako.Habari ya muda huu.
Mwanangu wa miezi 12 hajanza kutambaa, naombeni ushauri wenu ila alichelewa kulia wakati wakuzaliwa lakini pia degedege huwa inamsumbua.
Naombeni ushauri wenu namna ya kumsaidia inaniuma saana ndugu zangu.😭😭😭
WellUkitaka kujibiwa kiuzoefu: wtt wanatofautiana katika makuzi, wakati mwengine unaweza kuwa na wtt 2,3 au zaidi lkn wakatofautiana kwenye muda wa kuanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea na kuongea...vilevile unaweza ukawa na wtt 2,3 au zaidi na wakafanana kwa kila kitu kwenye makuzi yao.
Hahaha waswahili hao😅😅Miaka ya zamani niliwahi kusikia mtoto kuchelewa kutambaa/kutembea inatokana na either Mzazi mmoja anacheza michezo ya nje hivyo kumuathiri mtoto.
Walienda mbali na kusema ukiona mtoto kiuno hakikazi yaani kina shake shake ujue kesi ni hiyo hiyo kama ya juu.
Ukiwasikia Wanasayansi wao wanasema itakuwa mtoto hapati lishe ya kutosha au ana obesity.
Kama una Wazee nyumbani kwenu, jaribu kuwaulizia.
Pole sana
Keep her active✌️Bado mapema ila kwa tafadhari, uwe unamlazimisha kusimama na kumshika mikononyake miwili unakuwa unamlazimisha kujongea au unabeba miguu yake juu ya yakwako mnatembea wote wewe chini yeye juu, ata kama hajaanza kutambaa lazima ataonesha ushirikiano.
Mwisho mruhusu kucheza na wenzake mara kwa mara asizubae.
Mpeleke mloganzila kitengo cha physical therapy. Uliza dr isiaka. Kule utapewa ushauri kama aanze mazoezi au laMiguu yake hajaweza kuikaza kwa kumnyanyua, na tulimpeleka kwa daktari akasema mbona hanashida ya miguu ila hawezi kuikazisha chini hata ukimnyanyua
Waswahili wana mambo, ila vingine ni muhimu kuzingatia hata kama ni vya kiswahili 🤪Hahaha waswahili hao😅😅
Je, anasimama kwa kutumia viti n.k? Kama ndiyo, basi usiwe na hofu yoyote wala usimharakishe. Watoto wengine ni waoga sana kutembea au huweza kuchelewa bila sababu yoyote. Nilikuwa na wangu alikuwa mwoga kweli kweli hata kusimama. Ila baadae akaja kutushangaza siku moja anatembea mwenyewe.Anapata lishe mkuu, ila mama yake hanamaziwa yakutosha pia.
1. Uwe unamfanyisha mazoezi na stretching ya viungo.Miguu yake hajaweza kuikaza kwa kumnyanyua, na tulimpeleka kwa daktari akasema mbona hanashida ya miguu ila hawezi kuikazisha chini hata ukimnyanyua
Nakazia kwenye hii, kila sku umpake olive oil. Mafuta ya nyonyo, epuka kumshika ukitoka kwenye mihangaiko. OGA kwanza. Mpeni lishe safi, maziwa ya ng'ombe ninmuhim, azingatie ratiba ya menu za mtoto kila siku. Amuwekee michezo mbalimbali lkn pia jiunge na hii app jisajili. Uwe unapata weekly update na uzizingatie. Ni kama kipimio Cha watoto wore wenye age hiyo. BabyCenter | The Most Accurate & Trustworthy Pregnancy & Parenting InformationOk kama haijakaza vizuri ,unamlaza chali harafu unashika miguu yake na kuwa unainyoosha na kuikunja (kama vile mtu anavyotembea (kushoto unakunja kulia unanyoosha, kulia unakunja kushoto unanyoosha) ....unaanza taratibu akizoea unaongeza speed, iwe kama mchezo siyo karate.😄😄😄
Shukrani mkuutafuta wabibi wa kihaya wanakuwaga na dawa nzuri sana yaani ni chap atatembea, ila pia tafuta mavi ya tembo changanya na vitunguu swaumu mfukize atapona degedege
Shukrani mkuu😭Ukitaka kujibiwa kiuzoefu: wtt wanatofautiana katika makuzi, wakati mwengine unaweza kuwa na wtt 2,3 au zaidi lkn wakatofautiana kwenye muda wa kuanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea na kuongea...vilevile unaweza ukawa na wtt 2,3 au zaidi na wakafanana kwa kila kitu kwenye makuzi yao.
Wengine wanasema ziwa la mama linachangia kwenye makuzi ya mtt, wengine kuwa na speed ya kufanya hivyo vitebdo na wengine kuwa wapo slow.
Ushauri wangu kama mzazi mzoefu ambae nimejaaliwa kupata wtt waliowahi kila kitu katika makuzi yao Alhamdulillah....vyema mtt umpeleke kwa wataalamu wa afya km alivosema mmoja wa members hapo juu, mpeleke kwa paediatrician au mtaalam wa masuala ya viungo pamoja na kumtafutia wale mabibi wataalam wa masuala ya wtt, wanakuwa wanawachuachua kuamsha nerves. Miezi 12 kutokutambaa kachelewa na hivyo unasema miguu yake haijishiki kuna shida mahali, either mgongo au kichwa.
Pole sana, Mungu Atakufanyia wepesi...na wewe wahi kumshughulikia mtt
sHukran mkuu😭Pole sana mkuu ,kama hana shida zozote kwenye brain basi atatambaa na kutembea inshallah.
Degedege mbaya sana kwa watoto ,jitahidi kujua joto la mtoto na kumkanda na kitambaa kabla ajapata degedege.
Sawa mkuuRelax mfanyishe mazoezi kidogo kidogo ku encourage vitu vya kuvutia. Mshike mkono pull like vile wanatembelea matako.
Kila siku zoezi moja au mbili kwa siku. Ndani ya mwezi mmoja naomba uje hapa kunishukuru.
Siku hizi watoto wanazaliwa na uvivu. Sijui ni haya maziwa tunawanunulia?
Hajaweza bado kusimamia hivo vitu mkuuJe, anasimama kwa kutumia viti n.k? Kama ndiyo, basi usiwe na hofu yoyote wala usimharakishe. Watoto wengine ni waoga sana kutembea au huweza kuchelewa bila sababu yoyote. Nilikuwa na wangu alikuwa mwoga kweli kweli hata kusimama. Ila baadae akaja kutushangaza siku moja anatembea mwenyewe.