Msaada: Mwanangu ana miezi 12 bado hajaanza kutambaa, yeye ni kukaa tu

Amiiin amiiin, Allah akulipe kheir
 
Wangu ana miaka miwili now hatembei ni anasimamia vitu tu.. alipata degedege pia na alipata shida wakat kazaliwa… nimewaza sana, mazoez anafanya lakini bado… imebaki kumuombea tu
 
Hakika atatembea kwa Jina la Yesu, na si kutmabaa tu; 90+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…