Mkuu mimi nimeshauri kitaalam inavyopaswa kuwa kutokana na hii inafuatwa sana huku nilipo na mimi ni muumini wa procedure na patient satisfication, kupitia hilu nimeona manufaa yake sana.Labda baada ya Bima kwa wote!! Mambo mengine muwe mnaangalia mazingira. Udaktari sio kukalili.
Just imagine mtoto anaumwa, mzazi kampeleka pharmacy ikashindikana kaja kuomba ushauri hapa we unamwambia ampeleke kwa dermatologist kwa pesa hipi??
Afya ni mtaji ukiona unapiga shortcut na kuona bima ni maumivu iwe chachu kuamka mpaze sauti msisubiri kina Lissu tu.
Huyo Ummy unafikiri akiumwa why anaenda nje kwa matibabu sababu ni mbili tu correct procedures na patient satisfication , hii ni haki kwa kila mtanzania sio hao wanasiasa uchwara wanaowadanganya.