Msaada: Mwanangu anatokwa na vipele vingi sana

Msaada: Mwanangu anatokwa na vipele vingi sana

Kipindi nampeleka pharmacy, hapo nyuma (mwezi wa 11) niliwai mpeleka hospital kama 2 tofauti walimpa (sonadem) nilimpaka kwa wiki mbili mfululizo havikuisha na wengi walinambia ni vipele vya joto , vitaisha lakini havikuisha nikaona vinazidi,
Kuna pharmacy nilielekezwa nikampeleka ,ndipo akanishauri nitumie hiyo Calamine lotion lakini hola, nikaona nimrudishe hospital, awamu hii wakanibadilishia dawa wakanipa silverex ,tangu nimpake hakuna mabadiliko.
Mkuu kama huko karibu na pharmacy kachukue dawa inaitwa BBE ni ya KUPAKA SEHEMU ZOTE ZA MWILI ISIPOKUA USONI.

NARUDIA USIMPAKE USONI.

Kwanza mgonjwa muogeshe kwa maji ya moto, mkaushe vizuri then Tikisa dawa kisawasawa then mpake X2 kwa siku, asubuhi na jioni kwa siku 5 njoo na majibu hapa.

Muhimu, angalia mtoto asijiguse machoni!! Ikitokea unamuosha (usoni ) kwa maji masafi.

Asante
 
Mkuu kama huko karibu na pharmacy kachukue dawa inaitwa BBE ni ya KUPAKA SEHEMU ZOTE ZA MWILI ISIPOKUA USONI.

NARUDIA USIMPAKE USONI...
Ahsante sana Mkuu

Mungu akubariki sana

Nipo bugurun- DSM, nikitoa pua nje tu pharmacy kibao
 
Ana miaka miwili . Huo ni mgongo tu anajikuna sana. Na hospital nimeenda labda nibadili hospital View attachment 2857637
Ok Tafuta BBE, sabuni ukiweza Tumia Tetmosal Soap..
Pia kama Utakuwa na uwezo wa kununua Dawa ya kunywa Tafuta Ivermectin syrup ile iliyochanganywa na Albendazole..

So ivermenctin syrup/Ivermectin Tabs 3mg au 4mg (0.15mg/kg) od (Once a day) for atleast 7 days

Ukifanya hivyo atapona nakuhakikishia...
 
Ok Tafuta BBE, sabuni ukiweza Tumia Tetmosal Soap..
Pia kama Utakuwa na uwezo wa kununua Dawa ya kunywa Tafuta Ivermectin syrup ile iliyochanganywa na Albendazole..

So ivermenctin syrup/Ivermectin Tabs 3mg au 4mg (0.15mg/kg) od (Once a day) for atleast 7 days

Ukifanya hivyo atapona nakuhakikishia...
Asante sana
Nilishamuanzishia BBE jana na sabuni ya deto
 
Tupe mrejesho
Mzee alhamdulillah hii dawa inafanya vizur kwa watoto wangu wote wawili (twins) niliwapaka wote kwa kuwa huyu mwengine vilimuanza anza.
Vipele vinakauka na ngozi inabadilika kurudi ktk Hali yake (pharmacy alisisitiza niwapake mara Moja tu kwa siku) ndivyi nilivyofanya Kila siku usiku kabla ya kulala nawapaka

ILA SASA CHANGAMOTO
Kuna mmoja mpaka nimeamua kumfunga kamba mikono Kisha nampaka maana amezoea kufikicha macho na mkono , kiasi kwamba juzi nilivyompaka tu baada ya muda alijikuna afu akafikicha jicho , ASEEE alitoa kilio kimoja hatari sana. Mpaka nilipomnawisha na maji safi kwa mda kidogo ndipo alinyamaza
 
So namfunga kamba Kisha nampaka dawa
Nahakikisha mpaka alale ndio namfungua kamba akiwa usingizini
 
kama unaishi hapa Dar ni joto, nunua AC mama angu..
 
zamani wanangu wakitokwa vipele kamahivyo bibiyao anawaogesha dawa ya asili majani flani hivi vinakauka chap
Sasa hivi utaambiwa nenda hospitali ukadungwe CHANJO 😂😂😂🙈🙈🙈

Biashara ni kali sana 🥴
 
Mzee alhamdulillah hii dawa inafanya vizur kwa watoto wangu wote wawili (twins) niliwapaka wote kwa kuwa huyu mwengine vilimuanza anza.
Vipele vinakauka na ngozi inabadilika kurudi ktk Hali yake (pharmacy alisisitiza niwapake mara Moja tu kwa siku) ndivyi nilivyofanya Kila siku usiku kabla ya kulala nawapaka

ILA SASA CHANGAMOTO
Kuna mmoja mpaka nimeamua kumfunga kamba mikono Kisha nampaka maana amezoea kufikicha macho na mkono , kiasi kwamba juzi nilivyompaka tu baada ya muda alijikuna afu akafikicha jicho , ASEEE alitoa kilio kimoja hatari sana. Mpaka nilipomnawisha na maji safi kwa mda kidogo ndipo alinyamaza
Saaafi
 
Ok Tafuta BBE, sabuni ukiweza Tumia Tetmosal Soap..
Pia kama Utakuwa na uwezo wa kununua Dawa ya kunywa Tafuta Ivermectin syrup ile iliyochanganywa na Albendazole..

So ivermenctin syrup/Ivermectin Tabs 3mg au 4mg (0.15mg/kg) od (Once a day) for atleast 7 days

Ukifanya hivyo atapona nakuhakikishia...
Chief, nina mtoto ana shida kama hii ya mtoa mada.
Sijaelewa vyema haya maelekezo. Inahitajika Ivermectin syrup au tabs?
 
Mzee alhamdulillah hii dawa inafanya vizur kwa watoto wangu wote wawili (twins) niliwapaka wote kwa kuwa huyu mwengine vilimuanza anza.
Vipele vinakauka na ngozi inabadilika kurudi ktk Hali yake (pharmacy alisisitiza niwapake mara Moja tu kwa siku) ndivyi nilivyofanya Kila siku usiku kabla ya kulala nawapaka

ILA SASA CHANGAMOTO
Kuna mmoja mpaka nimeamua kumfunga kamba mikono Kisha nampaka maana amezoea kufikicha macho na mkono , kiasi kwamba juzi nilivyompaka tu baada ya muda alijikuna afu akafikicha jicho , ASEEE alitoa kilio kimoja hatari sana. Mpaka nilipomnawisha na maji safi kwa mda kidogo ndipo alinyamaza
Dawa gani umetumia mkongwe?
BBE au?
 
Back
Top Bottom