Msaada: Mwanaume ninayeishi naye haoneshi kunipenda na hataki tuachane

Hapo uliposema kakulia kijijini tena sana,ndo nmepata jibu la swali lako, huo ni ushamba unamsumbua tuu wala sio kingne...tafuta marafk wa kiume wa kwake wambie shda yako then wamshaur
 
Pale unapojiita lady in action but unashindwa kushuka mzima mzima na mtu anayeichezea future yako. Anyway

Ninakukumbusha tu, at 30s huna muda wa kuchezea tena.
 
Mbona kama unausemea moyo...huyo jamaa dada angu hakupend..

Naongea kutokana na experience,nna madem wa3,simpend hata m1,..na jins alivyo huyo jamaa ndo nahia namim hao madem zangu wananiona hvyo...

Nnaempenda mmi tuliachana 6yrs ago,sjapataga naempenda tena..mim ni kula na kuacha,

Perhaps,niliepangiwa bdo hajatokea
 
Wanawake wasumbufu tu muda mwingi.

Sasa anataka kilq muda umwambie unampenda ili iweje wakati hadi unaamua kumwoa ni dhahiri unampenda.

-Kama anaumwa ukishamwambia meza dawa na ukamletea dawa..visimu vya kumpigia vya nini?

Usumbufu tu mkuu.
 
Pole sana.

Nachelea kusema anakupenda. Ukiwa na upendo utamjali mwenzako kwa hali na mali. Nashanga sana hataki kukusaidia wakati unaumwa pia unapohitaji halafu ni mchumba nashindwa kuamini hilo sasa anaona kama unamchuna ama vipi
 
Wanawake wasumbufu tu muda mwingi.

Sasa anataka kilq muda umwambie unampenda ili iweje wakati hadi unaamua kumwoa ni dhahiri unampenda.

-Kama anaumwa ukishamwambia meza dawa na ukamletea dawa..visimu vya kumpigia vya nini?

Usumbufu tu mkuu.
Masai unayosema ni sahihi.

Mtu anaumwa huendi hospital kumwona wala kumpa hela ya dawa. Aise upendo wa siku hizi wakuvamiana vamiana
 
Hyo hutokea kama mtu hajaweka mapenz sana kipaumbele
 
Huyo anakup3nda kabisa anaoneka,Ile elewa tu wanaume tuko tofauti sana
 
nilipoona huu uzi nilidhani wife kaja kunisemelea humu nikakumbuka yeye na jamii forum vitu 2 tofauti,sis kiufupi ni tabia za mtu mwenyewe mke wangu sometime huwa hadi anajifanyisha kama anaumwa ili anione nita chukulia vipi but huwa nashindwa kabisa.vitu vingine sio rahisi kuvirekebisha sio kila mtu ameumbwa kuwa romantic.
ila huyo wa kwako amizidi kama hajali familia hiyo ni case nyingine
 
Vumilianeni tu pengine hata wewe unamapungufu flani anayavumilia, jitad kumshape vimsg vya mahaba muda mwingine usisubir akuanze
 
Wanawake wasumbufu tu muda mwingi.

Sasa anataka kilq muda umwambie unampenda ili iweje wakati hadi unaamua kumwoa ni dhahiri unampenda.

-Kama anaumwa ukishamwambia meza dawa na ukamletea dawa..visimu vya kumpigia vya nini?

Usumbufu tu mkuu.
Yaani mpenzi wako amelazwa unashindwa kuwa karibu yake eti wanawake ni wasumbufu kweli?

Kwahili wanaume mnakosea, mkumbuke tu kuwa akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Kama unashindwa kumjali mwenza wako katika wakati mgumu tambua kuwa huna mapenzi naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…