Hapo pa kuumwa bila kuja kukuona umeenda mbali.Masai unayosema ni sahihi.
Mtu anaumwa huendi hospital kumwona wala kumpa hela ya dawa. Aise upendo wa siku hizi wakuvamiana vamiana
Kuwa karibu unamaanisha nini?Yaani mpenzi wako amelazwa unashindwa kuwa karibu yake eti wanawake ni wasumbufu kweli?
Kwahili wanaume mnakosea, mkumbuke tu kuwa akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Kama unashindwa kumjali mwenza wako katika wakati mgumu tambua kuwa huna mapenzi naye.
Amejieleza hivyo ndipo nimemwona mchumbake ana roho ngumu. Japo sina hakika.Hapo pa kuumwa bila kuja kukuona umeenda mbali.
Ila tugeuze faili tulisome vizuri...
Wanawake mnapenda viattention vidogovidogo ambavyo baadhi ya wanaume tunavipa kisogo.
Mwisho nisipokupa utaanza kukasirika na kuuliza kama unapendwa kweli.
Mleta mada anasema, alilazwa jamaa hakuweza kwenda kumuona wala kumtumia pesa ya matibabu/matunda zaidi ya kumsisitizia tu kula na kumeza dawa.Kuwa karibu unamaanisha nini?
Zaidi ya ukaribu nikitoka kazini kama umelazwa nakuchel kisha naenda nyumbani.
Mkuu soma vizuri jamaa hajaenda hata kumwona hospital hadi ndugu wameuliza anadanganya amesafiri khaa huyo mwanaume wa kazi gani upendo wake kwake ni upi wa kitandani pekeeKuwa karibu unamaanisha nini?
Zaidi ya ukaribu nikitoka kazini kama umelazwa nakuchel kisha naenda nyumbani.
Duuuh hapo pagumu mama.kama ndugu yenu mnanishaulje?
Ila nakuambia kuna wanawake wanapenda attention.Amejieleza hivyo ndipo nimemwona mchumbake ana roho ngumu. Japo sina hakika.
Kama toka mwanzo ulikuwa unaonyesha attention sana kwake nini kinakuchosha usiendele uzuri ukimwelewa mama yeyo wako hakupi shida kuna namna ya kumfanya abadilike ama ache music wako
Usikute mafua au kichwa au tumbo la siku.Mkuu soma vizuri jamaa hajaenda hata kumwona hospital hadi ndugu wameuliza anadanganya amesafiri khaa huyo mwanaume wa kazi gani upendo wake kwake ni upi wa kitandani pekee
Pole sana.
Nachelea kusema anakupenda. Ukiwa na upendo utamjali mwenzako kwa hali na mali. Nashanga sana hataki kukusaidia wakati unaumwa pia unapohitaji halafu ni mchumba nashindwa kuamini hilo sasa anaona kama unamchuna ama vipi
Penzi la mashaka!Masai unayosema ni sahihi.
Mtu anaumwa huendi hospital kumwona wala kumpa hela ya dawa. Aise upendo wa siku hizi wakuvamiana vamiana
My sister i really never understood you pls,but from the little i understood, your man has problems in areas of helping you , knowing your state how you are doing daily, and aslo he is not romantic, and does not give you much attention or does not give you attention at all, and when you want to walk away from this relationship he begs you to stay,from my knowledge that i gained from studying emotional intelligence, i have an answer to your problems, and i can tell you what your man is doing and why he is doing it, here is the plain truth, HE HAS NO FEELING FOR YOU NEITHER DOES HE LOVE YOU!!!!!!!,thats the bitter truth, walk out of this thing as soon as you can, he is only misusing you and then he will just walk away and get the one he loves, there is no way i can fail to shower love, attention , care and be there to support a lady i TRULY LOVE, if the lady i love cries, i will be there to wipe her tears, i will order flowers delivered to her without her fore knowledge, i will buy chocolate and hind it under the pillow, which means she will find it jioniat that time, you know what i mean, wake up before her and prepare coffe and bring it to her bedside, on and on, sasa kaa mtu hata kukuambia i love you anaona shinda unasubiri nini, kwake my dear sisterI hope mko poa guys
Naitaji ushauri hapa serious kabisa
Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja
Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a
Huyu Kaka nilimpenda sana alikuwa mtu fulan mpole hana Mambo ya ajabu ukweli nilitokea tu kuvutiwa nae. Nikafanya juhudi tukawa marafiki wa karibu, kusaidiana mambo mbalimbali haikupita muda tukawa tumeanza mahusiano ya kimapenzi
Uzuri jamaa alikuwa hayupo katika mahusiano serious, alikua na mwanamke ambae walikua hawafahamiani aliunganishiwa na jamaa tu so wakawa na mapenzi ya kwenye simu
Baada ya miezi 6 jamaa akanipeleka kwao kunitambulisha ilikua Desemba mwaka jana, Februaru mwaka huu alihamishwa mkoa mwingine kikazi nami nikaacha pale nikaanza biashara zangu binafsi. March akaja nyumbani kwetu kujitambulisha, Juni kupanga na kutoa mahari.
Oktoba Wazazi pande zote mbili walikutana kupanga mambo ya ndoa, wazazi wake wakaomba tuchukuane tu kwa sasa hawana uwezo tutafunga ndoa mwaka kesho. Hii ni sawa kwa jamii ya wasukuma wa kijijin kwani huamini ukishamtolea mahari mwanamke tayari wanakuja kumchukua. Familia yangu ikakubali
Kilichonileta kwenu
Baada ya kukaa kiuchumba na jamaa nilikua nahisi hanipendi tangu kabla hajanipeleka kwao nikawa najiondoa kwake ajabu nikikaa nae nikimwambia tuachane hakubali kabisa anaweza hata jitupa chini akibembeleza nisimuache
Nikimuangalia ni mtu ambae haoneshi kama ananipenda anaweza kaa siku 1 au 2 bila kunipigia. Ninaweza pata shida kunisaidia akawa mzito mno. Ni mtu ambaye hajali unaumwa, umepata matatizo unaishi vipi haelewi
Mwanzo nilihisi labda anamahusiano mengine lakini nilifanya uchunguzi sikubaini hicho. Mi nampenda najikuta naumia nahitaji kupata attention yake, muda wake, nilishaongea nae sana. Ni mtu ambae hata kuniambia nakupenda au nimekumiss au kuniita tu mpenzi wangu ni ngumu labda muwe kitandani kapandwa na hisia anaweza fanya hivyo au muwe mna ugomvi anakubembeleza au ndio mmeelewana
Atafanya hivyo for 2 days then anarudi katika hali yake
Nilishaongea nae kama hanipendi nimeshamuomba aniache niumie badae nitazoea hataki. Kuna kipindi nilimwambia aniache tu atafute mwanamke anaempenda na nikamchunia kweli
Aliteseka sana alinitafutia washauri sio ndugu zake, rafiki zake na zangu. Nashindwa kuelewa nitaishije na huyu mtu jamani. Sielewi ni maumbile yake yuko hivi, makuzi au tu hanipendi!
Amekulia kijijini hasa tena hasa nashindwa kuelewa labda ndivyo alivyo. Nawaza labda yupo kwangu kimaisha tu sababu yeye ana kazi nzuri mshahara mkubwa lakini familia ya kwao inamuelemea ukoo mzima unamtegemea yeye
Mimi kipato changu kidogo kwake lakini nina maendeleo kidogo namzidi na ninafanya vitu vya msingi. Nahisi labda jamaa amefata maisha!
Wadau samahani kwa kuwachosha naombeni mawazo yenu
Subiri anijibu, utajua ninachokiwaza
Ningeugua na kupondeka aisee. Usifanye mchezo na attentionDuuuuh!! Kwa mie mpenda attention nashindwa hata cha kukushauri.
Mtupe tu brod darlingUnavyosomeka tu inaonekana unapenda sana attention. Sasa hivi hatuwapi tena attention, tumegoma, hatutaki[emoji39][emoji39]