Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu


Doha ni nchi gan Mkuu
 
Hiyo yellow fever card siyo kikwazo kwako. Tambua umeshapata sasa wew songa mbele
 
Baada ya kufatilia sana, kuna kitu nimegundua. Makampuni mengi nchi za kiarabu wanaprefer zaidi wakenya kuliko watz.

Kuna agent wa Kenya ananishughulikia issue yangu, siku ya kwanza tu aliniuliza kuhusu passport yangu ni ya nchi gani, baada ya kumwambia ni ya bongo akasema nimtumie. Ni miezi sasa imepita but kila nikiongea nae anasema bado hajafanikisha kwani passport ndio kikwazo japo kanihakikishia kuwa ni 100% kupatikana kwa kazi.


Kwahiyo ndugu zangu, kama bado hujapata passport fanya mchakato upate ya Kenya. Kuna watu nikisema passport ya bongo au ya kenya hawaelewi, paasport ni ile ile but ombea kenya uwe kama mkenya. Ni rahisi sana kupata mchongo uarabuni ukiwa raia wa kenya
 
Vipi kuhusu iraq ulifatilia maisha yao yapoje na Maisha kiujumla
huko sijafuatilia...nilichogundua ni kuwa nchi za kiarabu zinamalipo mazuri...ila ni kujitoa muhanga nchi hizo zina joto kali kupita kiasi
 
Nimejifunza mambo mengi Sana ktk huu uzi Mkuu.. sina mpango wa kwenda kuishi nje ya nchi ila huu uzi ukiugeuzageuza ni darasa tosha.
kweli kaka...ila hapa duniani kuna viumbe vinataabika sana...nilitaabika nikaja na wazo la kuikimbia nchi yangu ndo kama hivyo unavyoona bado nipo darasani najifunza...na mimi mtoa mada najifunza kupitia uzi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…