Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una professional gan?
kama bado hujaenda njoo nitumie pm nikuunge mkuuNimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi mimi ndie kaka mkubwa wa familia, najiona kabisa nimeanguka, najiona napoteza uelekeo kila kukicha, nimekuja humu najua kuna watu wa hadhi na kariba tofauti tofauti, maana waswahili husema "mficha maradhi kifo humuumbua"
Nimehangaika kutafuta kazi, ni kweli nipo kwenye kazi ambayo mshahala ni 250k baada ya makato, huo mshahala unanifanya niishi kwa madeni hata kabla sijaupokea unakuwa teyari umeshaisha, sasa ndugu zangu kwa umri wangu huu 25+ najiona kabisa ndoto zangu hazitotimia, nikiwa na akili timamu ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya ajira, ata ya ULinzi, na nyinginezo kwenye nchi za kiarabu haswa Doha, Qatar anisaidie pengine huko maslahi yanaweza kuongezeka.
Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao nakutana na maagency ambao wapo nchi za jirani inakuwa ngumu kwangu kuwafikia kwani wengi wao wapo Kenya ama Uganda.
Ndugu zanguni ni matumaini yangu kilio changu kiapatiwa ufumbuzi.
Elimu yangu ni ya kidato cha nne, sijasoma kihivyo ila ujinga wa kuelewa kingereza kidogo nimeuondoa hivyo ninaweza kingereza japo si sana.
VILE VILE mimi ni dereva wa magari...mwenye leseni yenye daraja A, A2, B, C1, C2, C3, D, E
😀😀😀 We jamaa ndo kilaza mkuu. Jamaa kakuelekeza umekosea lakini wewe unasisitiza upo sahihi. Hebu kajifunze kiswahili huko kijijini kwenu.We kweli Head Kilaza
Ni yeye tu au yeyote mwenye kuhitaji? Maana wenye shida tupo wengi na hatuwezi kuanzisha thread nyingine, tunalilia hapa hapa kwa pamoja na mleta uzikama bado hujaenda njoo nitumie pm nikuunge mkuu
hapana siyo yeyetu mkuu yeyote mwenye kuhitaji wewe fanya ku pm tu hatuwezi kuweka kila kitu hapaNi yeye tu au yeyote mwenye kuhitaji? Maana wenye shida tupo wengi na hatuwezi kuanzisha thread nyingine, tunalilia hapa hapa kwa pamoja na mleta uzi
Mkuu nimejaribu kuja pm , naona device yangu Ina shida mahali, tafadhali tusaidie hapa, tupo wengi Sana wenye kuhitaji msaadahapana siyo yeyetu mkuu yeyote mwenye kuhitaji wewe fanya ku pm tu hatuwezi kuweka kila kitu hapa
Najaribu kuja inbox kwako ina shindikana jaribu kuunda group la whatsapp harafu tuma link hukuhapana siyo yeyetu mkuu yeyote mwenye kuhitaji wewe fanya ku pm tu hatuwezi kuweka kila kitu hapa
Mimi pia nina kila kitu kama huyo uliemreply, na proffesional yangu nina diploma ya insurance, lakini nina experience kubwa ya business management hasa kwenye retail industly kwenye big supermarkets na maduka makubwa ya retail kama LC Waikiki etc. Pia cashier, na loss control issues,Una professional gan?
Daah! Siyo poa kabisa. Maisha yanazidi kukaza kinomaMkuu tuzidi tu kupambana kutafuta njia ni kweli hali inazidi kuwa mbaya na wenzenetu waliopo kwenye line wamekuwa wazito sana kupeana njia kwaiyo tuzidi kupambana huenda tukafanikiwa
Tunakupoteza aiseee.... Yaani idadi ya wanaume itazidi kupungua.Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi mimi ndie kaka mkubwa wa familia, najiona kabisa nimeanguka, najiona napoteza uelekeo kila kukicha, nimekuja humu najua kuna watu wa hadhi na kariba tofauti tofauti, maana waswahili husema "mficha maradhi kifo humuumbua"
Nimehangaika kutafuta kazi, ni kweli nipo kwenye kazi ambayo mshahala ni 250k baada ya makato, huo mshahala unanifanya niishi kwa madeni hata kabla sijaupokea unakuwa teyari umeshaisha, sasa ndugu zangu kwa umri wangu huu 25+ najiona kabisa ndoto zangu hazitotimia, nikiwa na akili timamu ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya ajira, ata ya ULinzi, na nyinginezo kwenye nchi za kiarabu haswa Doha, Qatar anisaidie pengine huko maslahi yanaweza kuongezeka.
Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao nakutana na maagency ambao wapo nchi za jirani inakuwa ngumu kwangu kuwafikia kwani wengi wao wapo Kenya ama Uganda.
Ndugu zanguni ni matumaini yangu kilio changu kiapatiwa ufumbuzi.
Elimu yangu ni ya kidato cha nne, sijasoma kihivyo ila ujinga wa kuelewa kingereza kidogo nimeuondoa hivyo ninaweza kingereza japo si sana.
VILE VILE mimi ni dereva wa magari...mwenye leseni yenye daraja A, A2, B, C1, C2, C3, D, E
Mkuu tuelekezane jinsi gani ya kutoka, na ukifika huko kazi gani mtu anaweza fanya, sema Oman jauKabisa mkuu mm napambana muda c mlefu km m/mungu akiniwezesha naenda Oman kwanza kupima upepo
Mkuu mimi sina ujuzi wowote, ninavyeti tu na bachelor ya takwimuWewe una ujuzi gani?
Vipi bado hujapata connection ya uhakika?msaada tutani
Bado...wewe unayo Nini tupeane dealVipi bado hujapata connection ya uhakika?