Msaada mwenye kufahamu vilipo viwanja vya basketball Iringa

Msaada mwenye kufahamu vilipo viwanja vya basketball Iringa

Joined
Mar 9, 2023
Posts
48
Reaction score
61
Wakuu mimi ni Mgeni katika mkoa huu wa IRINGA, lakini pia ni mchezaji wa basketball, Ningependa kama kuna mwenyeji au yeyote anayefahamu viwanja vya basket iringa vinapatikana wapi.

Naomba unitajie viwanja vyote unavyovijua na sehemu vilipo
Mi nipo IRINGA MJINI.
Ahsante sana kwa atakaeshiriki kunipa Majibu
 
Wakuu mimi ni Mgeni katika mkoa huu wa IRINGA, lakini pia ni mchezaji wa basketball, Ningependa kama kuna mwenyeji au yeyote anayefahamu viwanja vya basket iringa vinapatikana wapi.

Naomba unitajie viwanja vyote unavyovijua na sehemu vilipo
Mi nipo IRINGA MJINI.
Ahsante sana kwa atakaeshiriki kunipa Majibu
Sina hakika kwa sasa lakini miaka ya nyuma kila shule ya sekondary ilikuwa na viwanja vya basketball hapo mkwawa highschool tuliwahi kucheza.zamani waliopenda michezo walifanya vizuri ktk mitihani yao labda ndo maana wizara ya elimu iliweka viwanja vya michezo katika shule hizo.
 
Leo nimepita pale shule ya msingi Wilolesi nikaona wameweka magoli ya Basketball kwenye uwanja wa udongo wenye manundunundu.

Kama hakuna kizuizi kiwanja kizuri ni RUCCU na Kleruu. Hapa basketball ni kama imekufa hivi.
 
Leo nimepita pale shule ya msingi Wilolesi nikaona wameweka magoli ya Basketball kwenye uwanja wa udongo wenye manundunundu.

Kama hakuna kizuizi kiwanja kizuri ni RUCCU na Kleruu. Hapa basketball ni kama imekufa
Mkuu Wilolesi nimesoma hapo. backintheday

Na kuhusu Viwanja vya basketball maalufu kipindi hicho ni kreluu chuo cha ualimu na Hotspring kanisa la Roma mshindo ilikuwa noma sana kipindi hicho nimekiwasha sana na kina Geez Mabovu.
 
Wakuu mimi ni Mgeni katika mkoa huu wa IRINGA, lakini pia ni mchezaji wa basketball, Ningependa kama kuna mwenyeji au yeyote anayefahamu viwanja vya basket iringa vinapatikana wapi.

Naomba unitajie viwanja vyote unavyovijua na sehemu vilipo
Mi nipo IRINGA MJINI.
Ahsante sana kwa atakaeshiriki kunipa Majibu
Nenda RUCO, utakuta kiwanja na wachezaji, huko kwingine ni viwanja tu
 
Mkuu Wilolesi nimesoma hapo. backintheday

Na kuhusu Viwanja vya basketball maalufu kipindi hicho ni kreluu chuo cha ualimu na Hotspring kanisa la Roma mshindo ilikuwa noma sana kipindi hicho nimekiwasha sana na kina Geez Mabovu.
Aisee.

Maisha yanakwenda kasi Sana. Hiyo naona ilikuwa miaka ya 2010 labda... Wengine tulicheza enzi za kina Hemed Mtolera.
 
Back
Top Bottom