Msaada mwenye kufahamu vilipo viwanja vya basketball Iringa

Msaada mwenye kufahamu vilipo viwanja vya basketball Iringa

Wakuu mimi ni Mgeni katika mkoa huu wa IRINGA, lakini pia ni mchezaji wa basketball, Ningependa kama kuna mwenyeji au yeyote anayefahamu viwanja vya basket iringa vinapatikana wapi.

Naomba unitajie viwanja vyote unavyovijua na sehemu vilipo
Mi nipo IRINGA MJINI.
Ahsante sana kwa atakaeshiriki kunipa Majibu
Kama unatumia mdudu pita sisiemu hapo, unaeza vuna na watu pia. Karibu sana unyaluni.
 
Wakuu mimi ni Mgeni katika mkoa huu wa IRINGA, lakini pia ni mchezaji wa basketball, Ningependa kama kuna mwenyeji au yeyote anayefahamu viwanja vya basket iringa vinapatikana wapi.

Naomba unitajie viwanja vyote unavyovijua na sehemu vilipo
Mi nipo IRINGA MJINI.
Ahsante sana kwa atakaeshiriki kunipa Majibu
Nenda pale gaden upo
 
Ulizia chuo cha ufundi don bosco.. kuanzia saa kumi na moja na nusu jion. Pako free kwa watumiaji wote wa michezo mbalimbal...
 
Wachezaji wapo? Tangu kucheza na kuimba muziki kuchukue nafasi ya michezo, hapa Iringa basketball imepoa sana.
Miaka ya 90 Basketball Iringa ilichezwa Chuo Cha Ualimu Kreluu na Kanisa la Roma Mshindo,Kleruu Kulikuwa kuna Lukelo Staki,Warioba,Gwakisa,Gwantwa Mwasakyeni na wengineo
 
Miaka ya 90 Basketball Iringa ilichezwa Chuo Cha Ualimu Kreluu na Kanisa la Roma Mshindo,Kleruu Kulikuwa kuna Lukelo Staki,Warioba,Gwakisa,Gwantwa Mwasakyeni na wengineo
Yes.

Gwantwa simkumbuki, Lukelo Marehemu kama ilivyo kwa warioba. Gwakisa yupo Dar.

Hiyo ni miaka ya 1992-1994.
 
Yes.

Gwantwa simkumbuki, Lukelo Marehemu kama ilivyo kwa warioba. Gwakisa yupo Dar.

Hiyo ni miaka ya 1992-1994.
Gwantwa alikuwa anasoma Mkwawa High school,Nakuongezea Wengine Isack Kileo baba yao alikuwa Tanesco, Musa Mgata,Dogo Subi,Jully Ngatunga,Majuto Lipangile
 
Subi Kimbe alikufa, mambo ya vyuma chakavu na tetenasi. Na Majuto.

Hiyo ni second generation baada ya Cream ya kina Hemed Mtolera na Ali Mambo kutoka.

Marehemu Majuto Lipangile ndiye alikuwa kiunganishi kati ya hizo generation zote tatu.
 
Mkuu Wilolesi nimesoma hapo. backintheday

Na kuhusu Viwanja vya basketball maalufu kipindi hicho ni kreluu chuo cha ualimu na Hotspring kanisa la Roma mshindo ilikuwa noma sana kipindi hicho nimekiwasha sana na kina Geez Mabovu.
Kama ni kanisa la Roman la hapa Town, Kiwanja chake kibovu balaa man
 
Back
Top Bottom