Hawa ndio wabongo sasa.Huna hela za kuweka kaa kimya na hizo nyumba za mbele ni za kupanga unaanzaje kuweka vitu ambavyo hujaruhusiwa ww baki na umaskini wako watu tunaweka tena kila after year tunabadili maana zinabadilishika ni ww na hela yako tu ila umaskini wako peleka kuleeee
Nyie ndio wale mnapaka rangi za saloon zile zinazongaa (mfano purple) sebuleni.
Wewe kwenye interior design nina uhakika huna onachojua.