Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Kujifanya Una wivu wakati unachepuka kwa Siri huo nao ni Uchawi[emoji846][emoji23][emoji113]
 
From the way ameandika sidhani kama ni kaka mtu bali a jealous boyfriend as angekuwa kweli ni kaka mtu asingekazia hivyoo issue ya kuhisi huyo binti aliwa.
 
Mkuu achaa kimfatilia mdogo wako wa kikeee....ameshakuwa,kumlipia ada isiwee sababu ya kimchungaa.mbona wewe unagongaa dada wa wezako
 
Anasoma Chuo Gani Hapo Dodoma, Mipango, CBE, UDOM, IFM, ST John,DECCA
Ili Kusaidie Yupo Wilayani Ama Kongwa, Mpwapwa, Chemba, Kondoa, Bahi, Chamwino


Dodoma Nako Sasa
 
Aisee kumbe wewe mkongwe...Mmoja ya hao namfahamu ni rafiki Yangu sana.Hiyo ajali ilikuwa mbaya sana yani
 
Kumfuatilia mtoto wa kike,mimi nilishindwa zamani sana...hao jamaa ni pasua kichwa!
 
From the way ameandika sidhani kama ni kaka mtu bali a jealous boyfriend as angekuwa kweli ni kaka mtu asingekazia hivyoo issue ya kuhisi huyo binti aliwa.
Mkuu emu kuwa serious kidogo,a jealous boyfriend?nimeshindwa kuvumilia imagine mleta uzi akiona hii comment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…