Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Pole sana sema ungeenda hapo chuoni ukaulizia japo inajulikana tu dogo tayari ka mature enough
 
jitulize mkuu huwezi jua hako kadogo kako kanapata manufaa gani kutoka kwa hao mababa watu
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Mbona wanachuo washamaliza field na kurudi vyuoni hata kabla ya pasaka?
Maana kuna kimoja nakitafuna kinasomaga hapo tena course hiyo hiyo ina maana wanasoma na huyo wa kwako.
Wadada wa vyuo wako na mambo mengi sana hivyo we fanya kilichokuleta Dom then usepe zako ukimfuatilia utakuja kuumia zaidi ukiyajua maana yawezekana yuko field ya mapenzi/ndoa.
By the way mimi pia nko hapa Dom kama vipi nicheck tufahamiane uniungishe kwenye biashara yangu ya majeneza
 
Hawa wadogo zetu hasa wa jinsia zetu hizi hukumbana na ushawishi sana hasa ukitegemea ni hapo dodoma yaani hamu ya kubaki huko ikaniisha kaniambia ni babati manyara.
Itakua ndio huyu nimepanda naye Basi anarudi Dodoma akitokea moshi maana inaonekana haelew chochote anauliza maswali Mara babat Dom napata gari? Mara nitafika saa ngapi Dodoma.. oyaaa ukiona manyoya
 
Raha ya chuo ni pamoja na kuwa na muda wa kupata hitaji la mwili la kujamiana,hii hupelekea akili za wanafunzi kuchangamka na kufanya vizuri katika masomo.

Cha kuzingatia fatilieni performance yake tu katika masomo mengine mwachieni mwenyewe maana ni mtu mzima.
 
Ulikuwa dodoma,ulishindwa nini kufika chuoni na kuupata ukweli?
Ulishasema ni likizo mbona tena unasema anadoji vipindi
Kinachokuumiza sio kusoma ila ni mawazo ya kuliwa kwa sista ako,je yule ni mtoto unamchunga(ungekaa naye kwako)
Mwisho
Jifunze kupotezea mengine sio kila kitu akupe taarifa,japo haijakaa poa lakini jitahd i kuyapotezea
N.B miaka ya 2015 UDOM sina kumbukumbu sana wanachuo walienda kujirusha mwanza bahati mbaya wakapata ajali,kiukweli haikuwa nzuri kwa wazazi maana mzazi anajua mtoto yupo dodoma ila taarifa za kifo zinatokea mwanza
Ila mkuu usinipopoe kweli inauma jamani
Yap, Na jamaa wa COED wamebeba videm vyao na alteza, haya Mambo Basi tu.
 
Tulia tuichakate papuchi yake.
Ila wanafunzi wa vyuo vya Dodoma wanatiwa aisee. Sijui ni ugumu wa maisha au nini.
Mkuu sio Dodoma tu vyuo vingi ni madanguro yaliyochangamka we nenda Chuo cha Ushirika Moshi, UDSM, CBE nk.
Vibinti vunagawa mbususu kama kawaida tena vitoto vingi ni "Double line" kabisa
 
Mimi naweza nje ya box kidogo,
Mleta mada ni mwanaume na anaye demu wake anayesoma chuo cha mipango Dodoma so,jamaa alipoenda kumtembelea demu wake Dodoma au alipoenda kwa shughuli nyingine Dodoma ajakaona ni vzr pia kama atam-check mtoto kwa hewa ili amgonge...kwa bahati mbaya ndyo akaambiwa "nipo field"

Haiwezekani ndugu yako wa damu ushindwe kumtembelea hapo chuoni (kila chuo kina utaratibu wa ndugu au rafiki kumtembelea mwanachuo hapo chuoni)

Pia,inawezekanaje mtu apatikane hewani halafu akwambie kuwa mtandao unasumbua?

Something must be wrong somewhere!
Mleta mada ni jinsia ya Ke, angalia michango yake hapa jf!
 
Mkuu sio Dodoma tu vyuo vingi ni madanguro yaliyochangamka we nenda Chuo cha Ushirika Moshi, UDSM, CBE nk.
Vibinti vunagawa mbususu kama kawaida tena vitoto vingi ni "Double line" kabisa
Double line ndio nini?
 
ACHA. ATOMBEKE ASEEEEEE SI AMESHAVUKA 18 + AU!!! ACHA WIVU WA KIJINGA WEEEEE
 
Mipango wamefungua chuo wana mwezi sasa hiyo field umepangwa 😂😂
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Kitu kizito cha kichwa hapo bnt kashaolewa ila sio kivilee... Au basi
 
Back
Top Bottom