Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Wee
Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
nenda chuoni ujue matokeo yake, watoto wa chuo kuishi kwa mwanaume kawaida. Awe makini na mimba na magonjwa basi
 
Dada nmesoma hapo huyo anakudanganya tu waliopo field ni diploma au certificate ndo mida Yao hii kuwa field ila kwa ngazi ya degree ni Hadi mwezi wa 7 au wa 8
Ni hayo tu
 
Unampangiaje mdada mtu mzima, asiliwe mkuu wewe chamsingi msisitize ajue wajibu wake over! Otherwise una agenda ya siri na yey ila kama ni kumsaidia tu maswala ya ada mtu akishafika chuo anajielewa na hawezi kuwa bikra
 
Muombee tu Mungu amuepushe na mabaya ukiongea naye usiache kumshauri kuhusu maisha mengine mwachie.
 
pole mimi dogo alikuwa udom mwaka wa kwanza kaenda kuanza, kwakuwa tulikuwa tunambana sana nyumbani basi alipoenda chuo kaenda kujiachia mwisho kapata mimba, kaenda kutoa ikagoma akataka kufa tukamsaidia kapona. Alipopona likizo ya kwanza karudi nyumbani wote wamegoma kumlipia ada kabaki nyumbani sasa hivi kaenda kwa aliyempa ujauzito wanaendelea na maisha.

Hapo nyuma alikuwa anatudanganya wameenda kihuduma za kiinjili mara singida, mara mwanza mara morogoro kumbe alikuwa anapelekwa na wababa wake huko. Hadi kesho chuo kimesimama tangu mwaka jana kaambiwa mume wake amsomeshe sisi kama wazazi tumeishia hapo. Kuwa makini nawe ndugu yangu
Mambo ya udinidini,ukichanganya na umalaya wa kujificha,ndiyo unapelekea kupata mimba kizembekizembe,wadada ambao wao ni sex oriented wakiwa chuo,wanatumia P2 na njia nyingine,kuzuia mimba.Hawapati ujauzito kizembe wakati wanatumika vibaya mno.
 
Unampangiaje mdada mtu mzima, asiliwe mkuu wewe chamsingi msisitize ajue wajibu wake over! Otherwise una agenda ya siri na yey ila kama ni kumsaidia tu maswala ya ada mtu akishafika chuo anajielewa na hawezi kuwa bikra
Aachwe aliwe hovyohovyo ila akipata matatizo ndo ahudumiwe vizuri sindiyo mkuu?
 
Mimi naweza nje ya box kidogo,
Mleta mada ni mwanaume na anaye demu wake anayesoma chuo cha mipango Dodoma so,jamaa alipoenda kumtembelea demu wake Dodoma au alipoenda kwa shughuli nyingine Dodoma ajakaona ni vzr pia kama atam-check mtoto kwa hewa ili amgonge...kwa bahati mbaya ndyo akaambiwa "nipo field"

Haiwezekani ndugu yako wa damu ushindwe kumtembelea hapo chuoni (kila chuo kina utaratibu wa ndugu au rafiki kumtembelea mwanachuo hapo chuoni)

Pia,inawezekanaje mtu apatikane hewani halafu akwambie kuwa mtandao unasumbua?

Something must be wrong somewhere!
Kumtembelea Mtu mzima chuoni kuna utaratibu au Wewe unasemea Chuo gani ndugu????
 
unadanganywa wazi wazi
mdau ashasema degree hamna aliyeko field kipindi ichi
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Mkubwa Tayari ..kikubwa asome tu vizuri hauwezi kumlinda na maliasili anatembea nayo yeye.
 
Kama mdogo wako matokeo yake chuo yapo vizuri na ni mzima wa afya, hayo mengine potezea. Mtu aliyefika chuo tayari ni mtu mzima anajua jema na baya.
 
Kumbuka bunge linaendelea vibabubunge vina hela na ukimwi juu.
Mwambie awe makini kutumia condom.

Mengine usijali angalia performances zake.

Zisiporidhisha chukua hatua.

Mkubwa hachungwi
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Inaonekana ndiyo zako kuficha binti za wenzio, sasa zamu yako unaumia
 
ni jana tu mzee mmoja ananisimulia ana kabinti chuo cha mipango, ni mtu ambae ana familia yake. na kuonyesha kuwa lao ni moja huwa akienda kule kama wapo wawili anamwambia babisa binti aje na mwenzake.
 
Kwakua n mtu mzma na anajielewa mwachen afanyr anachotaka then yakimkuta abak anajuta yy cox nyie mlimpambania kwa jinsi mlivoweza, kumchunga mara zote hutoweza
 
Mimi naweza nje ya box kidogo,
Mleta mada ni mwanaume na anaye demu wake anayesoma chuo cha mipango Dodoma so,jamaa alipoenda kumtembelea demu wake Dodoma au alipoenda kwa shughuli nyingine Dodoma ajakaona ni vzr pia kama atam-check mtoto kwa hewa ili amgonge...kwa bahati mbaya ndyo akaambiwa "nipo field"

Haiwezekani ndugu yako wa damu ushindwe kumtembelea hapo chuoni (kila chuo kina utaratibu wa ndugu au rafiki kumtembelea mwanachuo hapo chuoni)

Pia,inawezekanaje mtu apatikane hewani halafu akwambie kuwa mtandao unasumbua?

Something must be wrong somewhere!
Kaaaa weee nae
 
Back
Top Bottom